Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Rais Samia anawaapisha Viongozi Wateule Ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar, leo tarehe 10 Disemba, 2024.
Rais Samia anawaapisha Viongozi Wateule Ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar, leo tarehe 10 Disemba, 2024.
- Akiwa anazungumza katika uapisho wa mawaziri, Rais Samia amedokeza kuwa ni viongozi tu ndo wamebadilishiwa majukumu lakini serikali ni ile ile.
- Pia Rais Samia alitumia hotuba yake kutoa sababu za kwanini aliamua kuifumua Wizara ya Habari na kuirudisha kuifanya kuwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kusema kuwa, kwa sasa Serikali imejipanga kuboresha sekta ya mawasiliano nchini na ndio maana jukumu la mawasiliano na ndio maana amefumua Wizara hiyo.
- Aidha Rais Samia alimpongeza Hamad Masauni kwa kazi nzuri aliyoifanya katika Wizara ya Mambo ya Ndani na kudokeza kuwa amemuweka kwenye nafasi yake mpya mahususi kwa ajili ya kusaidia sekta ya mazingira nchini na kudumisha masuala ya Kimuungano
- Rais Samia pia alitumia hotuba yake, kutangaza kuwa amemteua Profesa Janabi kuwa mgombea anayeiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha Ukurugenzi wa Shirika la WHO