Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Umeamua kumdhalilisha?
Mkuu Havard au Oxford hazileti chakula mezani,Ni hisia tu.
Kwa sasa China,South Korea,Japan ndio baba wa uchumi wa dunia hii.
Ebu tujitahidi kwenda na wakati,tena siku hizi waarabu wameturahisishia nenda Dubai kuna vyuo vyote hivyo.
 
Hebu siku moja waleteee Wasifu wa mama waone alivyopiga shule,,, mpaka wameamua kuanza kummiminia Maphd ya heshima.
 
Wakati mwingine embu tumuogope Mungu. Maana
 
Nimeona watu wengi wanadhihaki bandiko lako, wanaofanya hivyo wamesahau kuwa hata wewe ulupokuwa unaliandika ulikuwa unacheka na hawajui kuwa umeandika kuchekesha watu. Wao wanadhani uko serious hawajui kuwa unamaanisha Havard ile ya pale Buguruni Rozana.

By the way, kama ulivyoona picha yake kwenye mnara wa pale Dubai halafu kufumba na kufumbua wakachukua Bandari zote, siku ukimuona hata amepewa kiti tu akaketi kukiwa na shughuli maalumu huko Havard ya Marekani basi tambua watakuwa wameshafika bei ya kila kitu muhimu ikiwemo Ikulu
 
Kazi kubwa mliyobakia nayo kwa sasa ni ya uzushi , uchonganishi na uongo tu.hii ni baada ya mbinu zenu zote za ubaguzi ,ukanda na ujinsia kugonga mwamba na watanzania kukataa kabisa kusikiliza ujinga huo.
 
Kazi kubwa mliyobakia nayo kwa sasa ni ya uzushi , uchonganishi na uongo tu.hii ni baada ya mbinu zenu zote za ubaguzi ,ukanda na ujinsia kugonga mwamba na watanzania kukataa kabisa kusikiliza ujinga huo.
mojanya principle za management usifanye kazi ambayo haulipwi, yaani dont be a freelance consultant
 
Kipi nilichopotosha hapo ndugu yangu mtanzania.
Upotoshaji wako ni kwamba unataka watu waamini kwamba Samia is the best President we have never had,jambo ambalo si kweli.Infact she is the worst President ever.
 
Maneno yako yanaonyesha namna ulivyo kosa hoja na kupaniki tu.
nyie machawa tutawapiga sana spana na mathreads yenu ya uwongo hivi huoni aibu kutetea uwongo thread nzima watu wanachangia negative.
Kijana kama wewe tahaira ni hasara kwa taifa ni heri huyo mwanaume angepiga punyeto kulipo kuzaa mtoto kama wewe
 
Hotuba na tetemeko la Ardhi😅😅 chama kina vinyesi hiki sijapata ona.
 
Lakini wewe bwana!!! Sasa siku zote unasifiaaaaa weeeee huyo mama yako (kama kweli) lakini lazima utaje CHADEMA ili watu walau waingie kukusoma.. na unakula mvua za kutosha kabisa, ila huchoki..!!!!??$$##@**
 
Anaweza kutoa mhadhara (lecture) wa kitaaluma katika chuo cha Mzumbe? Tuanze hapo kwanza
 
Upotoshaji wako ni kwamba unataka watu waamini kwamba Samia is the best President we have never had,jambo ambalo si kweli.Infact she is the worst President ever.
Rais Samia ni Kiongozi bora sana kwa wakati huu ambaye huwezi kumfananisha na yeyote yule
 
Lakini wewe bwana!!! Sasa siku zote unasifiaaaaa weeeee huyo mama yako (kama kweli) lakini lazima utaje CHADEMA ili watu walau waingie kukusoma.. na unakula mvua za kutosha kabisa, ila huchoki..!!!!??$$##@**
CHADEMA nawapeni ukweli mchungu ili mbadilike
 
nyie machawa tutawapiga sana spana na mathreads yenu ya uwongo hivi huoni aibu kutetea uwongo thread nzima watu wanachangia negative.
Kijana kama wewe tahaira ni hasara kwa taifa ni heri huyo mwanaume angepiga punyeto kulipo kuzaa mtoto kama wewe
Naona hoja imekuzidi kimo cha akili yako
 
Jinga wewe. Hotuba zenyewe za ndani ya nchi tunazima TV au kuhamisha channel sembuse huko. Huyu anaweza toa mhadhara kwenye kichwa chako cha kizombie tu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…