Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Jinga wewe. Hotuba zenyewe za ndani ya nchi tunazima TV au kuhamisha channel sembuse huko. Huyu anaweza toa mhadhara kwenye kichwa chako cha kizombie tu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
Wewe hunaga akili.
 
Kwa the the tha tha
 
Jinga wewe. Hotuba zenyewe za ndani ya nchi tunazima TV au kuhamisha channel sembuse huko. Huyu anaweza toa mhadhara kwenye kichwa chako cha kizombie tu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
Unajua mkuu,mimi nimefika mahali naamini kwamba Lucas Mwashambwa does not deserve our comments,he is such a loon.
 
Naona hoja imekuzidi kimo cha akili yako
Hamna hoja yeyote nyie wafirwaji wanuka mavi mnaleta.
Wewe unajua maana ya hoja kweli.
Sasa hizo pumba ndio hoja nyie nitakuwa nawajibu kwa kuwatukana tu manake hamna mnaloandika zaidi ya porojo kila ukunijibu lazima ule tusi kumaamamaako wewe fala
Na lazima niwajibu mikundu kama nyie msizoee kudanganya watu wenye akili zao
 
Ndo nakuambia dogo wewe endelea tu kama unadhani utakutwa Katavi. Endelea tu kumkebehi Rais. Na wanaokutuma waambie system ipo vizuri.sasa endelea maana tunachukuliana poa.
 
kwa nini iwe Harvard au Yale na siyo pakistan, irani, saudia, dubai au hata omani?
 
Marekani kama sikosei haijawahi kuongozwa na rais mwenye PHD, Inafahamika kwamba watu wasomi sana hawawezi kuongoza vizuri ,kwa maana kilakitu wanataka wakiweke kwenye research wajue pros na cons, mambo mengi katika uongozi hayahitaji sayansi bali hekima ya uongozi ambayo Mtu hupewa na Mungu, Samia si msomi sanaaa japo wachambuzi wana Rank nombari ya 9 katika marais wasomi wa Africa, Samia anaongozwa na
1., Malezi yake yenye kujaa suluhu ndani yake, ndiyo mana alikuja na 4R baada ya kujifunza kutoka kwa mtanulizi wake ambaye alikuwa boss wake jinsi alivyopeleka mambo yake kinguvu nguvu, kwa njia hiyo yeye aliona hatafika. Uongozi wa Mwamba uliwafanya wapinzani waonekane wana hoja, uongozi wa Samia na 4R umewafirisi Chadema.
2., asili yamaumbile yake ni mtu mpole anayejali watu wengine hivyo kabla hatafanya maamuzi anaangalia kwanza matokeo na hii ni asilii ya wanawake wengi, (waalio weni wanaishi na wanaume si kwa sababu wana stsrehe na ndoa zao ila kabla hawajafanya maamuzi wanawaza waki devoce nini kitakachofuata na nani ataumia zaidi.)
3. Samia anashirikisha katika uongozi wake , hakuna anayejua yote hivyo kwa jinsi anavyoshirikisha inampa nafasi ya kufanya maamuz yaliyo shihihi, (Mwamba alikuwa jeshi la mtu mmoja.) sikwamba hakushirikisha ila tofauti ni hii unataka ushauri wakati una jibu lako na msimamo wako, Mama si hivyo anasilikiza ushauri na pengine ushauri ambao unaweza ukakinzana na na yale anayoyaamini kuwa sawa. haya tuliyaona wakati wa bunge la katiba.
yule anayejua hajui anakuwa kiongozi mzuri kuliko anayejua anajua kumbe hajui.
tumeona ya Kenya Ruto ni PHD holder lakini tunaona anavyoyumbishwa Gen Z katika maamuzi..
Samia uko vizuri na namna yako ya uongozi iko vizuri sana ila tu Ongeza ka ukali kidogo kwa mafisadi wanaturudisha nyuma na kupunguza sifa zako njema -kazi iendelee.
 
Ukimaliza kutukana basi kunywa sumu UFE kabisa maana huna faida kabisa ndugu yangu .
 
Ndo nakuambia dogo wewe endelea tu kama unadhani utakutwa Katavi. Endelea tu kumkebehi Rais. Na wanaokutuma waambie system ipo vizuri.sasa endelea maana tunachukuliana poa.
Nimeshakwambia kuwa wewe na familia yako yote mtanifuata wooteee kama kuku wa kideli. Kama umeua wengine na ukaendelea kudumu basi ni kwa hao hao lakini kwangu ni kuwa na wewe na familia yako mtadondoka kama maembe yaliyooza mtini. Tena koma kabisa kunifuatilia.
 
HUKO ALIKOSOMA ALISHAWAHI KUONGOZA??

AU ATAENDA KUANZIA HAVARD??

SHENZI KABISA NA SIJUI KWANINI Moderator WA JF WANAENDEKEZA HUU UPUUZI
 
Mwanzoni nilidhani watu wanakusingizia kumbe ni kweli..
 
HUKO ALIKOSOMA ALISHAWAHI KUONGOZA??

AU ATAENDA KUANZIA HAVARD??

SHENZI KABISA NA SIJUI KWANINI Moderator WA JF WANAENDEKEZA HUU UPUUZI
Kweli wewe ni mjinga sana.kwa hiyo asingeongoza na kuonyesha uwezo wake kiuongozi angefikaje hapo alipofika leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…