Rais Samia anaweza kwenda Ivory Coast mwezi ujao

Rais Samia anaweza kwenda Ivory Coast mwezi ujao

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji.

Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu leo hii.

Benki hiyo pia imempongezea Rais Samia kwa jinsi anavyoimarisha sekta binafsi.

 
Mamq yupo kazini hiyo animation nimeikubali
 
Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji.

Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu leo hii.

Benki hiyo pia imempongezea Rais Samia kwa jinsi anavyoimarisha sekta binafsi.
Aende hata Libya, Atasindikizwa na kupokelewa anaporudi
 
Kitendo cha kubambikizia kesi watu wasio nahatia ni kitendo kibaya sana na hakifai. Huyo mama anajifanya haoni kuwa watu wanateseka huko mahabusu yeye anaponda raha tu
 
Kitendo cha kubambikizia kesi watu wasio nahatia ni kitendo kibaya sana na hakifai. Huyo mama anajifanya haoni kuwa watu wanateseka huko mahabusu yeye anaponda raha tu
Ila wale jamaa wanakuaga hawana adabu aisee
 
Simiyu akafanye mini kwani hana wasaidizi huko ,huyu siye magufuli aliyekuwa anazurura kila chochoro mpaka magerezani kama kwamba hana wasaidizi aliyowateuwa mpaka akachoka na kufariki mapema kwa machofu na stress.
hivi Simiyu amefika kweli?
,
 
Nenda Mama... Mwenda bure sio sawa na mkaa bure
Siku zote akina mama wakiona kuna njaa nyumbani wao ndio huenda kuemea; mama tafuta ugali watoto wako wapone njaa. Mwacheni mama afanye kazi. Kuna faida nyingi za mama kwenda nje; anapata pesa za kutuletea maendeleo na pia yeye tu kwenda nje akiwa Mkuu wa Nchi na Dola pekee mwanamke Afrika aniatangaza Tanzania. Hakika naamini tangia Mama aingie mamlakani watalii watakuwa wameongezeka.
 
Siku zote akina mama wakiona kuna njaa nyumbani wao ndio huenda kuemea; mama tafuta ugali watoto wako wapone njaa. Mwacheni mama afanye kazi. Kuna faida nyingi za mama kwenda nje; anapata pesa za kutuletea maendeleo na pia yeye tu kwenda nje akiwa Mkuu wa Nchi na Dola pekee mwanamke Afrika aniatangaza Tanzania. Hakika naamini tangia Mama aingie mamlakani watalii watakuwa wameongezeka.
Mama yuko on the right track... Tunaenda vizuri
 
Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji.

Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu leo hii.

Benki hiyo pia imempongezea Rais Samia kwa jinsi anavyoimarisha sekta binafsi.
Sawa tu

Nisehemu ya utaliiiii
 
Back
Top Bottom