Rais Samia anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T na SG kwa TZS 6.55T?

Hata mimi mwanzo nilisema Mama anaupiga sana. fuatilia inputs zangu humu. With time hawezi kuwa mkamilifu 100% mapungufu yake yatakapo onekana nitasema na mazuri yake pia nitasema. Siwezi kufungwa mazuri ili nisione mabaya. NEVER
Uko sahihi kabisa nakubaliana na Wewe Ila mazuri ni mengi kuliko mabaya
 
Uko sahihi kabisa nakubaliana na Wewe Ila mazuri ni mengi kuliko mabaya
Sijui kuhusu hilo, ila mazuri nitayasema bila upendeleo na mabaya nitayasema bila chuki. Cha muhimu kwangu ni TANZANIA KWANZA
 
Sijui kuhusu hilo, ila mazuri nitayasema bila upendeleo na mabaya nitayasema bila chuki. Cha muhimu kwangu ni TANZANIA KWANZA
Naungana na wewe, Uzalendo ni muhimu sana kwaajili ya Taifa letu,
 
Kazi ni Nzuri Sana
 
Chawa Promax
 
Uh
 
Mama anastahili pongezi hata hivyo
 
JF kuna akaunti za kimkakati sn haya bhana wakati wenu.. kuleni tu lakini kufa kupo palepale..
 
Mama kama Mama
Mitano tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…