BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), kilichokutana jijini Dar Es Salaam leo tarehe 30 Juni 2024.
CCM Imara
Vitendo Vina Sauti
Tunaendelea na Mama
Kazi Iendelee
CCM Imara
Vitendo Vina Sauti
Tunaendelea na Mama
Kazi Iendelee
