Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (Mama wa vitendo) aorodheshwa na kutambulishwa Dunia kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika.
Ripoti ya Avance Media (100Women | Avance Media | 100 Most Influential African Women) yenye Makao Makuu yake Accra, Ghana ambayo ni wakala wa vyombo vya habari inayofuatilia masuala mbalimbali katika jamii barani Afrika. Fursa hii ya kuwa mmoja ya wanawake wenye ushawishi itumike vema kutangaza filamu ya Royal Tour ambayo inalenga kuitangaza Tanzania kimataifa huku Mhe. Rais akiwa mshiriki Mkuu wa filamu hiyo.
#TwendePamoja #KwaMatokeoyaHaraka
Ripoti ya Avance Media (100Women | Avance Media | 100 Most Influential African Women) yenye Makao Makuu yake Accra, Ghana ambayo ni wakala wa vyombo vya habari inayofuatilia masuala mbalimbali katika jamii barani Afrika. Fursa hii ya kuwa mmoja ya wanawake wenye ushawishi itumike vema kutangaza filamu ya Royal Tour ambayo inalenga kuitangaza Tanzania kimataifa huku Mhe. Rais akiwa mshiriki Mkuu wa filamu hiyo.
#TwendePamoja #KwaMatokeoyaHaraka