Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Rais wa Nchi ni mlezi na muwezeshaji wa mambo yote!! Mkifurahia kwenye mipira furahieni na huku pia… Rais ni wa sekta zote nchini ni vizuri mkajipanga mtafute vitu Vya maana Vya kukosoa vinginevyo mnaonekana kwenye mafuvu yenu mmejaza usaha badala ya ubongo Ndo maana mnaandika vitu Vya kitoto!