Rais wa Nchi ni mlezi na muwezeshaji wa mambo yote!! Mkifurahia kwenye mipira furahieni na huku pia… Rais ni wa sekta zote nchini ni vizuri mkajipanga mtafute vitu Vya maana Vya kukosoa vinginevyo mnaonekana kwenye mafuvu yenu mmejaza usaha badala ya ubongo Ndo maana mnaandika vitu Vya kitoto!
Acha ale bata mama .Yaaan anapenda shughuli kuliko
Yuko vzr aseeh tumpongezeAcha ale bata mama .
HakikaYuko vzr aseeh tumpongeze
Ni drama tu..
Hapana shaka mkuuHakika
Katika tuzo zote alizowahi pewa, hii amestahili hasa. Maana kila nyanja ya uwepo wako kimadaraka ni full comedy.
View attachment 3245872
Ila hajawahi kufungua kinywa chake kustopisha pia.Huu ni mkakati wa watu kupiga hela sifikirii kama mama ndo anabuni huu mradi wa kutokea katika faftari
Ila hajawahi kufungua kinywa chake kustopisha pia.
Wazungu husema, silence means consent.
Ukimya humaanisha ridhaa.
Na yeye anabariki hao wacheza na fursa.Watu wanacheza na fursa
Na yeye anabariki hao wacheza na fursa.
Acha uchawa na kamdomo mkuu, Bwana ananena juu yenu nyie machwa mtakufa midomo waziRais wa Nchi ni mlezi na muwezeshaji wa mambo yote!! Mkifurahia kwenye mipira furahieni na huku pia… Rais ni wa sekta zote nchini ni vizuri mkajipanga mtafute vitu Vya maana Vya kukosoa vinginevyo mnaonekana kwenye mafuvu yenu mmejaza usaha badala ya ubongo Ndo maana mnaandika vitu Vya kitoto!