ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tanzania imekuwa mlezi wa Kenya Kwa Miaka Mingi na lazima wakimbiliea Kwa Tanzania maana tunaweza mwambia Odinga atulie na tukawapa mahindi yetu Kwa bei chee wakaacha kugombana.Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.
Sijajua undani kama alikwenda au la lakini iwapo ni kweli alikwenda Nairobi basi hatuna budi kumpongeza Rais Samia.
Unapoona majirani wanafarakana kisha ukaenda kuwapatanisha ni ujasiri wa kipekee na upendo mkuu.
Rais Samia apewe maua yake
Upatanishi wa mahasimu wakubwa wa kisiasa haufanywi kwa siri hata siku moja. Hata nia ikiwa nzuri kiasi gani lakini ukakosea taratibu husika basi umekosea!Hqjafanya kosa hapo.
Kumbuka kuna watu wanakufa kule, kitendo cha kuamua kwenda hata kwa siri ni kuonesha kujali na upendo
Ninaamini kila mbinu hutumika lakini wakishapatanishwa inakuwa siyo siri tenaUpatanishi wa mahasimu wakubwa wa kisiasa haufanywi kwa siri hata siku moja. Hata nia ikiwa nzuri kiasi gani lakini ukakosea taratibu husika basi umekosea!
Tangu lini mwiz akawa na busaraTena apewe maua mengi kabisa maana huyu mama ni gwiji la subra.
Hili la kiongozi wetu kukimbiwa na mwenyeji wake ni aibu kubwa kwa Taifa letu. Ni tusi la karne kwetu.Tanzania imekuwa mlezi wa Kenya Kwa Miaka Mingi na lazima wakimbiliea Kwa Tanzania maana tunaweza mwambia Odinga atulie na tukawapa mahindi yetu Kwa bei chee wakaacha kugombana.
Ila aliombwa na huyo huyo aliyekimbia.Next time akihitaji Msaada atakuwa treated hivyo hivyoHili la kiongozi wetu kukimbiwa na mwenyeji wake ni aibu kubwa kwa Taifa letu. Ni tusi la karne kwetu.
Hii kwa wanaDiplomasia wanaelewa madhara yake.
Yaani unapanga safari, unapaa, unatua, unakwenda Hoteli halafu mwenyeji hatokei???! Hapana aisee.
Wakenya wametudharau na huenda huo ukawa mwanzo wa mgogoro wa kidiplomasia.
Tukikaa hapa tunapiga tu soga tutakuwa tunamdhihaki tu kiongozi wetu. Lazima vyombo vyetu viwajibike
Yaani kwa matusi yako haya wewe ni Nshalla, lissu au Mwabukusi. Ulaaniwe mbinguni na ardhini.Tangu lini mwiz akawa na busara
Kwa uzoefu gani alionao aweze kutatua ugomvi kama wa Kenya? Raisi wa Kenya ni mpatanishi wa mgogoro wa Sudan, mgogoro wa kivita, maana yake anauwezo mkubwa wa kutatua migogoro,sasa atachukuaje ushauri kutoka kwa MTU ambaye hajawahi kutatua mgogoro wowote wa kisiasa? Kwenye chama chake cha ccm, migogoro inamshinda, zenj mpaka Leo hawaelewani na ACT, wapinzani,Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.
Sijajua undani kama alikwenda au la lakini iwapo ni kweli alikwenda Nairobi basi hatuna budi kumpongeza Rais Samia.
Unapoona majirani wanafarakana kisha ukaenda kuwapatanisha ni ujasiri wa kipekee na upendo mkuu.
Rais Samia apewe maua yake
Kenya ni jirani zetu, ndugu zetu na pia ni washirki wenzetu katika Jumuiya yetu ya Afrika Mashariki, machafuko yao yanaweza kutuathiri sisi katika mambo mengi tu, hivyo kama kukipatikana fursa ya kupatanishwa na viongozi wetu wafanye hivyo ili mambo yasije kuwa magumu kwa wakenya na jirani zao.Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.
Sijajua undani kama alikwenda au la lakini iwapo ni kweli alikwenda Nairobi basi hatuna budi kumpongeza Rais Samia.
Unapoona majirani wanafarakana kisha ukaenda kuwapatanisha ni ujasiri wa kipekee na upendo mkuu.
Rais Samia apewe maua yake
Ina uhakika?Hana moral authority ya usuluhishi,na ndio maana Ruto alimkacha.
Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.
Sijajua undani kama alikwenda au la lakini iwapo ni kweli alikwenda Nairobi basi hatuna budi kumpongeza Rais Samia.
Unapoona majirani wanafarakana kisha ukaenda kuwapatanisha ni ujasiri wa kipekee na upendo mkuu.
Rais Samia apewe maua yake
Aliambatana na Mzee Jakaya Kikwete.Wanaume wa Ki Africa kaka ni wa hovyo, Madam Samia unakuta kaenda kwa ni nzuri, ila jamaa wana zarau, wanaona huyu atafanya nini, Kenya waache wagombane mpaka wapatane. Pale juu Museveni, Kagame si unaona wanawaangalia tu, wamewazoea
Ndio ninao,huu hapa👇.Kwake kunawaka moto, atasuluhishaje kwa wenzie?Ina uhakika?
Aliambatana na Mzee Jakaya Kikwete.
Madalali wawili,noma sana.Imekaa sawa sana, hiyo safi.
Hii inadhihirisha kuwa taarifa iliyotolewa kuwa alialikwa na Ruto haikuwa sahihi.Yaani unapanga safari, unapaa, unatua, unakwenda Hoteli halafu mwenyeji hatokei???! Hapana aisee.