Rais Samia apewe maua yake kwa uthubutu wa kutatatua mkwamo wa jirani zetu Kenya

Rais Samia apewe maua yake kwa uthubutu wa kutatatua mkwamo wa jirani zetu Kenya

Hakuna moto unaowaka bongo. Mambo ni shwari kabisa na bahari imetulia. Mama anaupiga mwingi. Mimi namlauma tu kwa kasi yale ndogo ya kuwaruhusu watu wema DP WORLD kuja kuanza kupiga mzigo pale bandarini. Basi.
Aisee wewe kipofu, na kwa kuwa viongozi wako ni vipofu,mtatumbukia wote shimoni na hamtainuka tena.
 
Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.

Sijajua undani kama alikwenda au la lakini iwapo ni kweli alikwenda Nairobi basi hatuna budi kumpongeza Rais Samia.

Unapoona majirani wanafarakana kisha ukaenda kuwapatanisha ni ujasiri wa kipekee na upendo mkuu.

Rais Samia apewe maua yake
Maua kwa mama:

1690441686270.png
 
Aise,you couldn't be more blind.Now I know exactly who you are,a CIA moron and minion.We obvious si Mtanzania,Mtanzania wa kweli anajali nchi yake.


Unaina rahanhiyo, wary wanepewanuhyr7 na.mamanwa9ngee wapendavyo.

Mama anastahili maua yake.
 
Hiyo "real msaliti" ndiyo timu ya wapi hiyo? mie naijuwa real Madrid ya Zinedine Zidane.
Wewe ume-pick comment kabla sijai-edit.I meant,"Msaliti na muuza nchi ana-deserve maua kweli?"
 
Back
Top Bottom