Rais Samia apokelewa kwa Dua Uwanja wa ndege Kia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Tazama Rais Samia Suluhu Hassan alivyopokewa kwa dua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KΙΑ).

Rais Samia anaelekea mkoani Arusha ambapo kesho anatarajiwa kutunuku kamisheni kwa maafisa wanafunzi katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli na Novemba 30 atashiriki mkutano wa kuadhimisha miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Your browser is not able to display this video.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan awasili mkoani Arusha leo tarehe 27 Novemba 2024.
 

Attachments

  • VID-20241127-WA0102.mp4
    21.7 MB
Kwa mwafrika suala la Imani mara nyingi ni maigizo tu. Dua ya maana ingekuwa kumueleza live uovu unaoendelea.
 
Dua za usanii tu hizo na upuuzi na unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…