Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
AmeenKongole kwa serikali ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.Mungu amjalie maisha marefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenKongole kwa serikali ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.Mungu amjalie maisha marefu.
Hao ni watu wachache.Tulio wengi 99.9%,tmefurahishwa na taarifa hii,na nyingine za maendeleo,endelea kutufahamisha.Kuna watu hawapendi,
Wanatamani asingefanya haya watu wetu wafe
Rais amefanya hawataki tumtaje,
Hii nchi kiboko aise,
Kwamwendo huu wataumia sana na BP juu wasipoangalia,
SUKUMA GANG MNAPATA TABU SANA.....MAMA ENDELEA KUUPIGA MWINGI!!Na wewe umeshakuwa rimbukeni tu kila mda mama mama! Mwambie ukunyonyeshe! Halafu ameahidi ndo unakuja kuleta umbea hapa!
Rais anatoa hela zake mfukoni sio?!Kwanini miaka yote hivo vitu havikuwepo ila leo kwa Samia?
Why mnataka tusiseme mambo makubwa yanayofanywa na Rais wetu?
Why? Why?
Mkuu upumbavu wa baadhi ya Watanzania ni wa hali ya juu.ID za kimkakati sasa ndo hizi zenyewe kutwa kusifia humu
kuanzia asbh mpaka asbh ya kesho yake ni
Mama
Mama
Mama
Mama
Mmama
Mmaaaaa
khaaaaaaaaa!!
Sasa kama anapiga kazi kimya kimya Haya matangazo yote ni ya nini, mnaanza kuturudisha enzi za Kusifu na kuabudu kama kipindi kile cha mwendazake.Mama anapiga kazi halafu kimyakimya, hana vishindo vingi vyenye siasa nyuma yake.
Heri yako wewe usiyekuwa mpambe nuksi.Sasa kama anapiga kazi kimya kimya Haya matangazo yote ni ya nini, mnaanza kuturudisha enzi za Kusifu na kuabudu kama kipindi kile cha mwendazake.
Sidhani kama mama anapenda mapambio ila nyie wapambe nuksi ndio mnalazimisha ili mteuliwe..
Eeeh! Ninyi wapambe ndio mnasababisha mpaka viongozi wanajiona miungu watu. Kila kukicha ni mwendo wa sifa na mapambio tu.Heri yako wewe usiyekuwa mpambe nuksi.
Hii intake mpya ya wanamapambio awamu hii ya sita wana mabandiko yenye upeo mdogo sa
Wewe pia acha kumkosoa itakuwa sawa sanaEeeh! Ninyi wapambe ndio mnasababisha mpaka viongozi wanajiona miungu watu. Kila kukicha ni mwendo wa sifa na mapambio tu.
Hongera MzalendoI fully support serikali kwenye hili
Lakini siamini tunahitaji mashine 7000
Cost of operations will be very high and I don’t think we have economies of scale
Wanakula kwako?Mkuu upumbavu wa baadhi ya Watanzania ni wa hali ya juu.
Hapana anatumia zako 🚮🚮🚮🚮🚮Rais anatoa hela zake mfukoni sio?!
[emoji38][emoji16][emoji38]Na wewe umeshakuwa rimbukeni tu kila mda mama mama! Mwambie ukunyonyeshe! Halafu ameahidi ndo unakuja kuleta umbea hapa!
Ndio Mzalendo,Hao ni watu wachache.Tulio wengi 99.9%,tmefurahishwa na taarifa hii,na nyingine za maendeleo,endelea kutufahamisha.
Mkuu naona unawachanganya watu. Naona kafa Ngosha uliyekuwa unampamba sasa matusi yamekujaa kichwani kama aliyevuta bangi mbichi.Eeeh! Ninyi wapambe ndio mnasababisha mpaka viongozi wanajiona miungu watu. Kila kukicha ni mwendo wa sifa na mapambio tu.