Idugunde the witch adui ya mamaView attachment 2134091
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam akitokea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE leo tarehe 28 Februari, 2022.
Labda ule ushauri wa baba askofu kule Ngara umeanza kuzingatiwa..Vip leo hajapokelewa na wizara zote na sare zao?
View attachment 2134091
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam akitokea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE leo tarehe 28 Februari, 2022.
Leo hajaja na vijipesa kidogo..hana cha kuwadanganyishia vijana wake wa uvccm.Leo hakuna mapokezi?
Kuvuna usichopanda huo ni wizi au uchangudoa.Hongera Mama kwa kupambana . Nasubiria Salam na pochi la Mama alichovuna huko UAE.