jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hahaaa..katoka shopping dubai..wadanganyika wanaliwa huku wamezubaa..zombie za kijani nazo zimekua kama maazezeta tu..kila kitu ndio..tukope ndio..tutumie hela za ndani ndio..tuweke tozo ndio.Tumerudi kufua nguo, zikikauka then next week nizamu ya kwenda bara Asia.
Subiri kidogo, ataenda South Korea kuwashukuru kwa kutusaidia kujenga daraja la tanzaniteNilimuagiza kanzu sijui kaja nayo? Sasa mama aende Asia anatakiwa atembee sana ni hobbie yake
Leo hakukuwa na hafla ya hijab kama juzi?View attachment 2134091
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam akitokea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE leo tarehe 28 Februari, 2022.
UkraineZiara ijayo wapi?
Amekuja kufua nguo..soon ataondoka tena.Wasaidizi wa chifu wachape kazi kwa kumuandalia na kupanga safari nyingine wasisubiri mpaka chifu miguu yake ianze kuwashawasha au awakumbushe
Chakushangaza wakiwa nje wanapandishwa bajaji na hawalalamiki,wakiisha fika huku wanajifanya mabilionia mwendo wa mav x,hata kutoka arport tu kwenda lkuru, matumizi mabaya ya mikopoHahaaa..katoka shopping dubai..wadanganyika wanaliwa huku wamezubaa..zombie za kijani nazo zimekua kama maazezeta tu..kila kitu ndio..tukope ndio..tutumie hela za ndani ndio..tuweke tozo ndio.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaanza na wewe binafsi, umeshaweza kujitegemea?.Mama sera ya taifa ya kujitegemea inasemaje?
Huko nako tumepata ngapi ??