Rais Samia asambaza upendo, amwaga ajira zaidi ya 10,200. Kada ya afya wanemeeka zaidi

Rais Samia asambaza upendo, amwaga ajira zaidi ya 10,200. Kada ya afya wanemeeka zaidi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais Samia S Hassan ameendelwa kuonesha kwamba yeye ndio suluhi ya matatizo mbalimbali yanayoikumba jamii Kwa kuendelea kuyatatua Kwa Kasi kubwa.

Kwa Sasa Ma jobless wamefikiwa na Upendo wa mama na moyo wa mshumaa ambapo Serikali yake imetangaza ajiza takribani 10,209 Kwa kada mbalimbali huku 90% ya kazi hizo zikiwa ni Kwa Ajili ya sekta ya afya.

Ikumbukwe mapema mwezi uliopoita Serikali ya mama ilitangaza Ajira zaidi 230 Kwa kada mbalimbali hususani NIT na Shirika la reli.👇👇

My Take
Samia ni mtu na nusu,Harmonise hakukosea.Waalimu stay tuned wiki hii mtamwagiwa Upendo na nyie.👇👇

======

Siku mbili baada ya Gazeti la Mwananchi kuripoti uwepo wa madaktari 3,000, wauguzi 25,000 nchini kukosa ajira, Serikali imetangaza nafasi 9,483 mpya za ajira katika sekta hiyo.

Tangazo hilo la nafasi za ajira limetolewa jana Jumapili Julai 7, 2024 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

"Sekretarieti ya ajira inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 9,483 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili," imeeleza taarifa hiyo.

Imeeleza mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni Julai 20, 2024 na moja ya sifa iliyotajwa ni mwombaji kutozidi umri wa miaka 45.

Mwananchi.

Sasa mama amewafikia na Walimu👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9rrdD0tFlY/?igsh=Y3czcnI0enJrMnFv
 
Vijana mshindwe wenyewe kuomba kazi na kulipa fadhila 2025
 
Mtu anafanya wajibu wake wewe unachosifu nini hapo?
Ndio maana anapongezwa na kutiwa moyo.

Umezika mtindo hapa Tanzania wa watu wanaofanya vizuri kukatishwa tamaa Kwa maneno ya kipumbavu kama Yako,kwamba Kiongozi akitimiza wajibu wake asipongezwe Wala kusifiwa si ndio? Huo ni uchawi.
 
Unajua Kiwango cha wananchi wasiokuwa na Ajira pamoja na vyetu kuwa navyo? Wajibu wa Serikali ni kutengeneza Ajira na Mazingira wezeshi ili sekta binafsi zitengeneze Ajira.Upungufu wa watumishi Kada ya Afya ni kadri ya 50%:Yàani panapotakiwa kuwa na Watu 2 pana Mtu 1.Wapunguze Matumizi ya yasiyo lazima waajiri watumishi wa Kutosha,Siyo Afya pekee Bali hata Kada zingine.
 
Ndio maana anapongezwa na kutiwa moyo.

Umezika mtindo hapa Tanzania wa watu wanaofanya vizuri kukatishwa tamaa Kwa maneno ya kipumbavu kama Yako,kwamba Kiongozi akitimiza wajibu wake asipongezwe Wala kusifiwa si ndio? Huo ni uchawi.
Mtu anafanya wajibu wake unampongeza na kumsifu ili iweje mkuu, muache afanye majukumu yake nawe fanya majukumu yako.
 
kwa hiyo kada ya afya ambapo kwenye Christian countries wanaitwa highly qualified lkn tanzagiza wanaitwa majobless? kazi ipo, duh …
 
Mtu anafanya wajibu wake unampongeza na kumsifu ili iweje mkuu, muache afanye majukumu yake nawe fanya majukumu yako.
Unajua wewe ni mgonjwa wa akili ila hujitambui? Kama Mwenyekiti wako Mbowe alimpongeza Samia Kwa Kuwaruhusu mikutano ya Kisiasa na maandamano,haukuwa wajibu wake?

Hujui maana ya Kiongozi au yeyote anayetwkwlwza vyema wajibu wake? Wahi mirembe nisijekuwa najadiliana na mtu mwenye ugonjwa wa akili ila hujajitambua.
 
Unajua Kiwango cha wananchi wasiokuwa na Ajira pamoja na vyetu kuwa navyo?
Wajibu wa Serikali ni kutengeneza Ajira na Mazingira wezeshi ili sekta binafsi zitengeneze Ajira.Upungufu wa watumishi Kada ya Afya ni kadri ya 50%:Yàani panapotakiwa kuwa na Watu 2 pana Mtu 1.Wapunguze Matumizi ya yasiyo lazima waajiri watumishi wa Kutosha,Siyo Afya pekee Bali hata Kada zingine.
Ndio kazi anayofanya Samia and so apongezwe au wewe unaona anatakiwa kutukanwa?
 
Unajua wewe ni mgonjwa wa akili ila hujitambui? Kama Mwenyekiti wako Mbowe alimpongeza Samia Kwa Kuwaruhusu mikutano ya Kisiasa na maandamano,haukuwa wajibu wake?

Hujui maana ya Kiongozi au yeyote anayetwkwlwza vyema wajibu wake? Wahi mirembe nisijekuwa najadiliana na mtu mwenye ugonjwa wa akili ila hujajitambua.
Kwa hiyo raisi karuhusu mikutano ya hadhara kwa hisani au katiba inataka watu wawe huru kufanya mikutano ya hadhara? Usipotumia akili unakuwa mpumbavu ujue, halafu Mbowe sio mwenyekiti wangu, sifungwi na chama chochote kama kiazi wewe.
 
Kwa hiyo raisi karuhusu mikutano ya hadhara kwa hisani au katiba inataka watu wawe huru kufanya mikutano ya hadhara? Usipotumia akili unakuwa mpumbavu ujue, halafu Mbowe sio mwenyekiti wangu, sifungwi na chama chochote kama kiazi wewe.
Kamuulize Mbowe Sasa kama ni hisani au sheria na Je ikiwa sheria asipongezwe?

Kwamba hapa VP anakosea ila wewe fala ndio uko sahihi si ndio? Ndio maana nakwambia wahi mirembe 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9Kl_FuN04u/?igsh=cHJ6NTZ6ZDdzbW9x
 
Rais Samia S Hassan ameendelwa kuonesha kwamba yeye ndio suluhi ya matatizo mbalimbali yanayoikumba jamii Kwa kuendelea kuyatatua Kwa Kasi kubwa.

Kwa Sasa Ma jobless wamefikiwa na Upendo wa mama na moyo wa mshumaa ambapo Serikali yake imetangaza ajiza takribani 10,209 Kwa kada mbalimbali huku 90% ya kazi hizo zikiwa ni Kwa Ajili ya sekta ya afya.

Ikumbukwe mapema mwezi uliopoita Serikali ya mama ilitangaza Ajira zaidi 230 Kwa kada mbalimbali hususani NIT na Shirika la reli.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9KF-IWtWdC/?igsh=MTBxc21yNWkxbnliYQ==

My Take
Samia ni mtu na nusu,Harmonise hakukosea.Waalimu stay tuned wiki hii mtamwagiwa Upendo na nyie.👇👇

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1810214312855683219?t=mzw7GGfdASZyiBsMY9YabQ&s=19

Kidumu chama tawala
 
Back
Top Bottom