Rais Samia asambaza upendo, amwaga ajira zaidi ya 10,200. Kada ya afya wanemeeka zaidi

Daah atleast hata hao Elfu10 Watakua na Tumaini wakati ujao πŸ€”

Lakini hili jambo bado pasua kichwa sana
 
Sawa kafanya vyema. Je, kipengele Cha ku certify vyeti Kina umuhimu gani??
 
Daah atleast hata hao Elfu10 Watakua na Tumaini wakati ujao πŸ€”

Lakini hili jambo bado pasua kichwa sana
Rais wenu Jiwe si ndio aliliongeza mara nyingi mlisema mnajenga uchumi,shykuni kafa mungesuguw Hadi Sgr zikamilike 😁😁
 
MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU , RAIS WANGU, KIPENZI CHA WATANZANIA , MWANGAZA WA WANYONGE, DR SAMIA SULUHU HASSAN.....MAMA UNATOSHA....
 
Una mtindio wa ubongo wewe sio bure ajira za afya 10,200 ziko wapi? Una uhakika ziko idadi hiyo?,.au uchawa unakusumbua unaongeza figure zako nina mashaka ata tangazo tu hujaliona
 
Sidhani kama itakuwa lengo ni Hilo. Kwani mifumo ya NECTA kuanzia ordinary level Hadi advanced level haisomani na mifumo Yao. Pia taarifa za vyuoni hazisomeki au Tanzania ukisha graduate tu na taarifa zako zinapotea/kujifuta automatically? Kama upo karibu nao waambie waondoe hicho kipengele maana ni usumbufu tu Wala hakuna tija yoyote ya kufanya hivyo.
Kupunguza wale vyeti fake
 
We nenda ka verify vyeti vyako,kama hutaki ajira achaaa..kila sehemu unalalamika kuhusu verification ya vyeti..waachie ambao wana uhitaji. Sawa?
 
We nenda ka verify vyeti vyako,kama hutaki ajira achaaa..kila sehemu unalalamika kuhusu verification ya vyeti..waachie ambao wana uhitaji. Sawa?
Nataka nijue tu umuhimu wake. Kama hakuna ulazima na umuhimu watoe hicho kipengele.
 
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na chawa hata siku moja! Hawa chawa wakiambiwa hata waseme Canada iko Tabata hawapingi!
Wewe ni mjinga mmja,waambieni Watoto wako au hata wewe kama ni jobless utume maombi.

Samia ndio mkombozi wenu na siku zote Nabii hakubaliki kwao mkija kupigishwa doro miaka mingine kama alivyofanya Jiwe ndio mtamkumbuka.

Over 800 jobs πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1812756424641896832?t=4VJkRhE8jEQZT1FciFcX2Q&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…