Rais Samia ashindwa kujizuia hisia zake za furaha. Awashukuru wana CCM na viongozi kwa kumtakia heri ya Siku yake ya Kuzaliwa

Rais Samia ashindwa kujizuia hisia zake za furaha. Awashukuru wana CCM na viongozi kwa kumtakia heri ya Siku yake ya Kuzaliwa

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
Screenshot_20250127-221750_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bubujiko kama lote
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kichaa peke Yake anayeweza kumtakia kheri. Mtu anayeruhusu maelekezo ya wanaume kuchukua visu na kuzalisha wake zao kwa kuwapasua. Ni shetani kama wewe unaweza pongeza. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ni kichaa peke Yake anayeweza kumtakia kheri. Mtu anayeruhusu maelekezo ya wanaume kuchukua visu na kuzalisha wake zao kwa kuwapasua. Ni shetani kama wewe unaweza pongeza. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Jitahidi sana uwahishwe na kuwahi hospitalini kupata matibabu ya haraka sana kabla hali yako haijawa mbaya na kushindwa kutibika.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amebubujikwa?
 
Sasa kule milembe ulikuwa na issue gani kama sio kupata matibabu ya kupunguza makali ya kichaa chako
Itakuwa ulikuwa bado hajapona vizuri na ndio maana ukawa huwatambui wenzako wa Mirembe. Ulitolewa na kutoka lini huko Mirembe unakokuzungumzia? Maana wengine hatujui hata hiyo hospitali ina geti la Rangi gani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu jamaa mleta mada si alikuwaga mzima kabisa?!
Amepatwa na ugonjwa huu ghafla?
 
Back
Top Bottom