Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Acha ujinga wako hapa wewetumu ulize aliye mteua huyu bibi kizee, plus uchawa wa usalama wetu wa taifa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wako hapa wewetumu ulize aliye mteua huyu bibi kizee, plus uchawa wa usalama wetu wa taifa .
Rais wa Marekani mbona hajastaafu?Wenzie umri huo wanakua wamestaafu,yeye bado anang'ang'ania madaraka.
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa kabisaKuna wakati huwa nafikiria hili linawezekana likawa ni Robot la Mama Abdul analikontrol akiwa ikulu. Haiwezekani nakataa mtu mzima kichwani akawa na akili za uchawa hivi. Mimi nakataa niko tayari kubishana na yeyote yule hadi mwisho hili robot i swear.
Kwanza hushangai halijawahi kukosea spelling hata siku moja, liko so perfect likiandika uchawa wake kwa kuwa liko programmed. Nyie msibishane nalo ni Robot hata uliambie nini utasikia"mama ametufikia, blaah blas....." halina hisia
Huyu jamaa ana matatizo makubwa sanaJamaa huponi tu kichaa
Huyo Samia ni kama unamkejeli tuRais wa Marekani mbona hajastaafu?
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .
Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.
Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .
Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.
Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.
Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.
Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dogo kuzaliwa Kwa Yesu ndo kulileta furaha na amani ,usje ukajkomba kumsifia Rais ukapitliza ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu ,sifa zinapokua nyingi Kwa mwanadamu badala ya Mungu anaweza Fanya chochote kuzuia Hali iyo... Kwan zamu huko kwenu mbeya hamjabubujkwa na machozi ya furaha kuzaliwa Kwa mama??Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .
Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.
Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .
Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.
Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.
Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.
Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kupitia kilimo duni umezika akili Yako ardhini! Serius unakata kabisa unaandika ngonjera kama hiyo! Nasubiri analysis Yako ya mkutano wa Jana na Leo vile utaacha kuwasilisha ajenda muhimu na kuanza kumshika matiti mama Yako! Kwamba maraisi wote katika mkutano walitamani awe mke wao!Mimi ni mkulima mchapakazi sana. Mimi siyo chawa bali ni msema kweli
Nna mashaka sasa umekua ulifanya dhiaka Kwa Rais ,,hauna ukwel unaposema ila ni dhiaka tupu ,hizo sifa zkipitiliza zinakula ni dhiaka dogo,,Mimi ni mkulima mchapakazi sana. Mimi siyo chawa bali ni msema kweli
Siyo kweliHuyu jamaa ana matatizo makubwa sana
Wivu tu ndio unakusumbuaNna mashaka sasa umekua ulifanya dhiaka Kwa Rais ,,hauna ukwel unaposema ila ni dhiaka tupu ,hizo sifa zkipitiliza zinakula ni dhiaka dogo,,
Embu acha ujinga wako hapa.Kupitia kilimo duni umezika akili Yako ardhini! Serius unakata kabisa unaandika ngonjera kama hiyo! Nasubiri analysis Yako ya mkutano wa Jana na Leo vile utaacha kuwasilisha ajenda muhimu na kuanza kumshika matiti mama Yako! Kwamba maraisi wote katika mkutano walitamani awe mke wao!
Mimi naongea kitu halisia na siyo kusifia.kumsifia na kumpongeza kila wakati, inageuka kuwa dhihaka.
kila jambo liwe kwa kipimo
Basi Sifia Kwa kias maana ukipitiliza unakua unafanya dhiaka,kama sio dhiaka bas una tatzo la akili ,Siyo kweli
Huu ni ukweli kabisa ni vile tu hajioni na hajisikiiSiyo kweli
ok, lakini fanya kwa kiasiMimi naongea kitu halisia na siyo kusifia.
Jibu swali langu Rais wa Marekani ana miaka mingapi?Huyo Samia ni kama unamkejeli tu
Mwenye mama yake abdul katulia tu,nyie mliezaliwa na ng'ombe mnamshobokea mama wa watu na mnabubujikwa na machozi kabisa mafi kabisaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .
Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.
Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .
Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.
Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.
Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.
Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.