Rais Samia ashindwa kujizuia hisia zake za furaha. Awashukuru wana CCM na viongozi kwa kumtakia heri ya Siku yake ya Kuzaliwa

Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa kabisa
 
 
Dogo kuzaliwa Kwa Yesu ndo kulileta furaha na amani ,usje ukajkomba kumsifia Rais ukapitliza ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu ,sifa zinapokua nyingi Kwa mwanadamu badala ya Mungu anaweza Fanya chochote kuzuia Hali iyo... Kwan zamu huko kwenu mbeya hamjabubujkwa na machozi ya furaha kuzaliwa Kwa mama??
 
Mimi ni mkulima mchapakazi sana. Mimi siyo chawa bali ni msema kweli
Kupitia kilimo duni umezika akili Yako ardhini! Serius unakata kabisa unaandika ngonjera kama hiyo! Nasubiri analysis Yako ya mkutano wa Jana na Leo vile utaacha kuwasilisha ajenda muhimu na kuanza kumshika matiti mama Yako! Kwamba maraisi wote katika mkutano walitamani awe mke wao!
 
Ooh.kumbe nashare tarehe ya kuzaliwa na mheshimiwa Rais.
Kwa kweli nimebubujikwa na machozi ya furaha
 
Embu acha ujinga wako hapa.
 
Mwenye mama yake abdul katulia tu,nyie mliezaliwa na ng'ombe mnamshobokea mama wa watu na mnabubujikwa na machozi kabisa mafi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…