Rais Samia ashiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming, Dodoma - Machi 20, 2023

Rais Samia ashiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming, Dodoma - Machi 20, 2023

Vijana wamesha pangiwa vituo vya kujifunza gharama zote za serikali. Kwa ubia wa NMB na other private sectors waki maliza ni mtelezo tu acheni wivu kwenye baadhi ya mambo..kufikia mwezi wa 8 mtakua mme pata feedback
Mwanzo mzuri
 
Kilimo Cha umwagiliaji? Maji wanayatoa wapi maana walisema kuna ukame na kilia daliwa hadi kipindi kuonyesha kuwa nchi inakumbwa na ukame. Au huu ukame ni kwenye umeme tu sio huko kwenye kilimo?
Mkuu, unataka kusema umwagiliaji hauwezekani Dodoma ?
 
Hiko kinachomwagiliwa ni upepo? Kama kuna ukame hayo maji ya kumwagiliwa yatatoka wapi?
Vyanzo vya maji kwa ajili ya umwagiliaji ni vingi mkuu.
1. Mvua (muda ambao inanyesha, unajenga mifereji kuyapeleka maji shambani)
2. Kuvuna maji ya mvua na kuyaweka kwenye mabwawa makubwa ili baadae uyapeleke shambani. (Kutoyaacha maji ya mvua "yaende zake")
3. Kuchimba maji ya chini (underground water) na kuya pump kwenda shambani.
4. Na njia nyinginezo.


Sidhani kama options zote hizo zinashindikana kwa Dodoma (au eneo jingine lolote).

Kama Dodoma inasifika kwa kilimo cha zabibu, maana yake to some point Dodoma inapata maji ambayo mnaweza kuya utilise kwa ajili ya umwagiliaji.

Vinginevyo tukubaliane kwamba hata hizo zabibu zinakua kwa NGUVU YA UPEPO
 
Mvua zipi na maji yapi Tena? Unajua huwa ni kama hamueleweki huko. Dodoma hii kila siku humu mnalalamika ukame

Tukubaliane hizi habari za ukame sio za Kweli, lakini ikiwa ni hivyo basi Kuna waziri ni muongo
Dodoma Ina maji mengi ardhini,watu hawakurupuki,mbona unaumia..una shida gani!?
 
Hili suala la leo yupo Dar kesho yupo dodoma liangaliwe mara 2 hatuwezi kuibeba hii gharama watanzania achaguwe ikulu moja ya kufanyia kazi.
Una hoja mkuu.
Amateketeza madarasa kibao angani
 
Hii ni Leo katika uzinduzi wa mashamba ya kwanza ya block farming Kwa Ajili ya vijana na wanawake..

Program ya BBT inalenga kutoa Ajira Zaidi ya mil.3 Kwa Vijana na wanawake kwenye Kilimo..

 
Hii ni Leo katika uzinduzi wa mashamba ya kwanza ya block farming Kwa Ajili ya vijana na wanawake..

Program ya BBT inalenga kutoa Ajira Zaidi ya mil.3 Kwa Vijana na wanawake kwenye Kilimo..


Zichewe mara ngapi wakati alishaanzisha kampuni yake binafsi kwa kutakatishia?
 
Hii ni Leo katika uzinduzi wa mashamba ya kwanza ya block farming Kwa Ajili ya vijana na wanawake..

Program ya BBT inalenga kutoa Ajira Zaidi ya mil.3 Kwa Vijana na wanawake kwenye Kilimo..

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] utoto mwingi utakuwa lin we jamaa
 
Vijana wanalima je sehemu yakuuzia mazao yao ipo kweli???

Nina mifano mingi, wakulima wamelima zabibu, hawana pakuuzi hadi wanakopwa na kampuni zakutengeneza wine
 
Vijana wanalima je sehemu yakuuzia mazao yao ipo kweli???

Nina mifano mingi, wakulima wamelima zabibu, hawana pakuuzi hadi wanakopwa na kampuni zakutengeneza wine
Hiyo program imeratibiwa Kwa Kila kitu, unadhani wanaolima kienyeji kama huko mtaani kwenu?

Wanaolima mazao elekezi yenye soko kabisa sio tuu ndani Bali masoko ya Nje ambayo serikali imewatafitia.
 
Mkuu, unataka kusema umwagiliaji hauwezekani Dodoma ?
Sijasema haiwezekani Ila najaribu kuwaza waliosema tuna tatizo la ukame, ndio nauliza Kama tuna ukame kwa nn tena serikali ijena program za umwagiliaji?
 
Vyanzo vya maji kwa ajili ya umwagiliaji ni vingi mkuu.
1. Mvua (muda ambao inanyesha, unajenga mifereji kuyapeleka maji shambani)
2. Kuvuna maji ya mvua na kuyaweka kwenye mabwawa makubwa ili baadae uyapeleke shambani. (Kutoyaacha maji ya mvua "yaende zake")
3. Kuchimba maji ya chini (underground water) na kuya pump kwenda shambani.
4. Na njia nyinginezo.


Sidhani kama options zote hizo zinashindikana kwa Dodoma (au eneo jingine lolote).

Kama Dodoma inasifika kwa kilimo cha zabibu, maana yake to some point Dodoma inapata maji ambayo mnaweza kuya utilise kwa ajili ya umwagiliaji.

Vinginevyo tukubaliane kwamba hata hizo zabibu zinakua kwa NGUVU YA UPEPO
Kwa hiyo ukame haupo?
 
Back
Top Bottom