"Wajanja" kumzidi mkuu wa wajanja!Dkt Kikwete alikuwa na nia njema kabisa tatizo wajanja wali dandia gari kwa mbele wakachukua usukani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Wajanja" kumzidi mkuu wa wajanja!Dkt Kikwete alikuwa na nia njema kabisa tatizo wajanja wali dandia gari kwa mbele wakachukua usukani
Kwa akili zako nyingi,wote serikalini hawakuona Hilo mpaka kupeleka huo mradi dom!?Wapi naumia? Humu ndio mnasema Dodoma Kuna ukame mkubwa, pia nchi imekumbwa na ukame
Mimi najaribu kukumbusha tu waliosema hivyo
Acha upumbavu legacy hailindwi magufuli atabaki na heshima yake na mama Samia pia atabaki na heshima yakePigo kubwa kwa walinda legacy!
Nawe itabidi tukuzoee kuwa mtu wa mipasho tu, maana umeanza kujipambanua kwa maandishi yasiyo na uzito wowote.Kwa hiyo serikali ni wajinga sana Hadi wewe unayajua hayo si ndio?
Mzee hapo ni Mwanzo tuu Hadi ajenda 10/30 ifikiwe kule Bashe huku Samia mwezeshaji..
Hayo unayoyaongea Yako addressed zamani sana,kabla ya kilimo.umaanzisa Sokoni mzee
Mtu mzima anayejitambua hawezi uliza maswali ya kitoto kama hayo,afuatilie hafla atapata majibu yote..Nawe itabidi tukuzoee kuwa mtu wa mipasho tu, maana umeanza kujipambanua kwa maandishi yasiyo na uzito wowote.
Kwa mfano hapa umesaidia kitu gani kueleza aliyoibua huyo uliyemjibu kwa maandishi haya ya kimipasho tu!
Wewe ungeyajua hayo majibu usingeandika hayo uliyoweka hapo kumjibu.Mtu mzima anayejitambua hawezi uliza maswali ya kitoto kama hayo,afuatilie hafla atapata majibu yote..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming katika Programu ya Building Better Tomorrow (BBT) eneo la Chinangali, mkoani Dodoma leo tarehe 20 Machi, 2023.
Povu la nn mlinda legacy!Acha upumbavu legacy hailindwi magufuli atabaki na heshima yake na mama Samia pia atabaki na heshima yake
Na ikishapita hatuulizani tena: hivi ilikuwaje?Yaleyale tuliyoyaona Kilimo Kwanza, Big Results Now, Tanzania Beyond Tomorrow An Impossible Dream et al
🤣😆Waliobahatika kuvuna msimu huo wao wanabaki na walichobahatika nacho; sisi wengine wote tunabaki tukisubiri kitu kingine kibuniwe na tushangilie, hata kama hatuambulii kitu.
Huwa sipendi watu wa kutafuniwa Kila kitu.Nawe itabidi tukuzoee kuwa mtu wa mipasho tu, maana umeanza kujipambanua kwa maandishi yasiyo na uzito wowote.
Kwa mfano hapa umesaidia kitu gani kueleza aliyoibua huyo uliyemjibu kwa maandishi haya ya kimipasho tu!
Usilinganishe failures wenu na Samia akili kubwaNa ikishapita hatuulizani tena: hivi ilikuwaje?
Waliobahatika kuvuna msimu huo wao wanabaki na walichobahatika nacho; sisi wengine wote tunabaki tukisubiri kitu kingine kibuniwe na tushangilie, hata kama hatuambulii kitu.
Usilinganishe failures wenu na akili kubwa ya SamiaYaleyale tuliyoyaona Kilimo Kwanza, Big Results Now, Tanzania Beyond Tomorrow An Impossible Dream et al
Ni tofauti kabisa.Huu mradi uko kisiasa zaidi.
Utakuwa kama ule wa Kilimo Kwanza
Hapana.Huwa sipendi watu wa kutafuniwa Kila kitu.View attachment 2559440
Soko jikoni,taarifa ziko kwenye sites mbalimbali za serikali..Hapana.
Hili siyo swala la "kutafuniwa kila kitu", kama wewe upo jikoni au karibu na jiko, pakuwa tulio mbali tufaidike pia.
Sasa hapa umefanya vizuri kabisa, at least kwa kuanzia.
Ungemwekea huyo uliyemjibu mara ya kwanza kwa majibu yale yasiyoeleweka, si sote tungekushukuru sana?
Heshima hujengeka namna hiyo. Na hapa haikukuchukua muda kupata jibu sahihi.
Haya sasa!Usilinganishe failures wenu na Samia akili kubwa
Niseme wazi, wewe huna tofauti yoyote na hao wengine unaowaita "wambea".Soko jikoni,taarifa ziko kwenye sites mbalimbali za serikali..
Watu wanashindia kuongea umbea huko wanataka Kila kitu kujambiwa ndio maana Huwa ni rahisi kudanganya Watzn na kuwa brainwash,hawataki kutafuta vitu vya maana ila ujinga ujinga.