Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kuna majamaa hayapendi kusikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majamaa hayapendi kusikia.
Kusita maana yake una utimamu wa akili.
Ila kama mtu anasema wewe hausiti kwenye maamuzi maana yake anakuona kuwa weww ni nyumbu au ngiri yaani ni wa kukurupuka tu
Mpuuzi wewe hauna mfano wako tunakujuaMadikiteita wanapongezana na kusifiana
Ndiyo maana yakeWewe unapswa ujiite
PAKIJINGA
Birds of a feather flock together is an English proverb. The meaning is that beings (typically humans) of similar type, interest, personality, character, or other distinctive attribute tend to mutually associate. 😀 😀 😀 😀Ni jambo jema
Ndugu hawa!
c&p Dictator Museveni is President Magufuli’s mentor and role model.Nani samia na museveni au?
Hizo hizo, au hizo MW kaziweka?MG au MW?
16 ni kazi ya magufuli hiiHabari yote hakuna mahali inaonyesha umeme ni wa kiwango gani. Yaani umeshindwa kutaja umeme ni wa MG ngapi?
Magufuli alitoa shilingi hapo kutoka kwenye mshahara wake?16 ni kazi ya magufuli hii
USSR
Tena hakutoa hata mia Zaid ya kauli tu kuwa mradi uanze Kuna mambo huhitaji kauli tu kama Mungu alivyoumba Dunia Kwa kauli tuMagufuli alitoa shilingi hapo kutoka kwenye mshahara wake?
Jambo Jambo?
View attachment 2634335
Ni kwenye uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa kikagati murongo.
Kasema kuwa bila magufuli huo mradi shirikiano kati ya Tanzania na Uganda bila magufuli usingekuwepo na kufikia hapo.
Kagera Tunanunua Umeme kutoka Uganda maeneo ya Masaka, Ila sasa mradi wa murongo italisha umeme Kagera
Nimehesabu na kama sikosei Museveni kamtaja Magufuli zaidi ya mara 16 huku samia akitajwa mara chache na nadhani haijazidi mara 3 si kama kule Chamwino na uzinduzi wao wa Ikulu huku wakikwepa kumtaja Mwamba.
Na amesema Magufuli alikuwa si mtu wa kusitasita siku ya kwanza kwenye majadiliano magufuli aliwaagiza watendaji wa wizara kuanza kulishughulikia swala hili siku hiyohiyo.
Na kama nimemsikia anasema kuwa alikuwa na mpango huo mradi auiite magufuli sema kwasababu waliowekeza ni kampuni binafsi hivyo wao wana mamlaka na si yeye
View attachment 2634340
View attachment 2634338
View attachment 2634365
(Kama wewe ni muwashwaji na unataka kukunwa tafadhali tafuta kwingine siyo kweny uzi huu usije hapa ukiwa umeshiba udaga na maharage ukaja kutoa pumba UTAKUTANA NA MAJIBU MAKALI. Jibu hoja kwa hoja)
Nshomile wa muleba
Kwasasa
Dar es salaam,Tanzania
Je huko Kuna free movement ya people kwenye boda ?Nimeishi pale murongo kwakweli wanakijiji watanufaika I'la hapo hapo wenzetu Uganda mtambo wao nimkubwa walituwahi kutangulia kujenga kwakuwa uzalishaji umeweka jirani jirani lingekuwa sisi wenyewe tungepata kv nyingi
Habari yote hakuna mahali inaonyesha umeme ni wa kiwango gani. Yaani umeshindwa kutaja umeme ni wa MG ngapi?