Mradi upo Uganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mradi upo Uganda
Mkuu unajua lemira na isuki??Nimeishi pale murongo kwakweli wanakijiji watanufaika I'la hapo hapo wenzetu Uganda mtambo wao nimkubwa walituwahi kutangulia kujenga kwakuwa uzalishaji umeweka jirani jirani lingekuwa sisi wenyewe tungepata kv nyingi
Hapana jina nilikuta kwenye minara ya simu mkuuMkuu unajua lemira na isuki??
Ni ndogo sana mto kagera umegawa boda alafu game reserves zimechukuwa eneo kubwa upande uganda ndiyo kumechangamkaJe huko Kuna free movement ya people kwenye boda ?
Okay mkoa gan ulikuta mkuuHapana jina nilikuta kwenye minara ya simu mkuu
KilimanjaroOkay mkoa gan ulikuta mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Kikagati Murongo, Uganda, leo Mei 25, 2023.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemshukuru Rais Samia kwa kuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufika eneo hilo. Amesema alipanga kuonana na marais wengine wa Tanzania lakini kutokana na sababu mbalimbali hakufanikiwa.
Akizungumza kwenye halfa hiyo, Rais Samia amempongeza Rais Museveni kwa mradi huo na ameshukuru kwa uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Uganda kwenye nyanja mbalimbali ambapo mradi huu utaongeza zaidi ushirikiano huo.
Rais Samia amesema umeme utakaozalishwa hapo utaongeza mashirikiano ya kibiashara, usafirishaji wa watu na bidhaa, afya, veta na mengine kadhalika.
Umeme huu utawakutanisha zaidi watu pamoja na kuongeza ulinzi wa maeneo ya nchi hizi kwa kuunganisha maeneno ya mijini na vijjini.
Ameahidi kuwa Serikali ya Tanzania itafanya kila linalowezekana kufanya mradi huu uendelee bila vikwazo. Pia, ipo tayari kwa mradi huu kwa kuwa inawekeza sana kwenye kusambaza umeme vijijini, na vyanzo vya aina hii vya umeme vinaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutimiza lengo hilo ya Serikali.
Akielezea zaidi kuhusu mradi huo na eneo uliopo, Rais Museveni amesema yeye binafsi amezaliwa na kukulia karibu na eneo hilo, amepigana vita 3 kwenye eneo hilo na amechunga ng'ombe upande wa Tanzania.
Amewataka Waganda kutokusikitika baada ya kusikia Tanzania inautaka umeme, amehoji Waganda wanasikitika na kunung'unika kwa kipi wakati Umeme huo hautolewi bure? Hata kama wataununua wote Nchi yake itapata pesa na hakutakuwa na tatizo lolote.
Wazo la mradi huo mara kwa kwanza Rais Museveni alimshirikia Hayati Magufuli ambaye aliukubali, na Rais Samia alipoingia madarakani hakusika kuuendeleza.
View attachment 2634344
Rais Samia Suluhu Hassan akivuta kamba pamoja na Rais wa Uganda Mhe. Rais Yoweri Kaguta Museveni kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Kikagati – Murongo, Mbarara nchini Uganda Mei 25, 2023. Mradi huo wa umeme utanufaisha nchi zote mbili katika masuala ya Nishati ya umeme.
View attachment 2634345
View attachment 2634346
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati alipotembelea mradi wa kufua umeme wa Kikagati – Murongo (Megawatt 16), Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023.
View attachment 2634347
View attachment 2634348
View attachment 2634349View attachment 2634350
Eneo la mradi wa kufua umeme wa Kikagati – Murongo pamoja na Mitambo kama linavyoonekana pichani, Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023.
View attachment 2634351
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati wakisikiliza maelezo ya mradi wa kufua umeme wa Kikagati – Murongo, Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023.
Okay sawa mkuuKilimanjaro
Kipimo cha Covid bro. Kwani vipi?MG ni kipimo gani?
Game reserves zipo upande wa Tz?Ni ndogo sana mto kagera umegawa boda alafu game reserves zimechukuwa eneo kubwa upande uganda ndiyo kumechangamka
Ule mradi sisi tunafaidi kikubwa kwa maana mto sehemu kubwa maji yamelalia Uganda maporomoko yapo Uganda sehemu yetu kidogo sana na hujui mto kagera vizuri ule mto umekaa Uganda kikubwa kwetu umekuja kuingia Tanzania kidogo alafu kule mwisho ziwa Victoria mto umemwaga maji upande wa uganda ila pale mulongo sisi tunafaidi zaidiYaani hujakaa na wataalamu wako, kuangalia mradi una athari gani kwa nchi yako, wewe unaamua tu kuwapa ruhusa watu wa nchi nyingine waweke mradi katika chanzo cha maji ya ziwa victoria!.
Ila game reserve upo upande wa Tanzania ukishapita mulongo custom watu wanavuka vizuri upande wa Uganda maduka makubwa na wenyeji ndiyo wengi na Barbara za lami wao sisi vumbi wenzetu wametupita parefu mkuuGame reserves zipo upande wa Tz?
Ila wapo waganda na wa Tz wanaovuka ?
Ongeza minofu kidogo.Hatimaye wana Murongo tumefikiwa. Tunakushukuru sana huu mradi kukamilika.
Who 're the investors?The Kikagati Hydroeletric Power Project is a low-head, run-of-river 16 MW Hydroelectric Project on River Kagera.
The Kagera River is the main tributary to Lake Victoria and the river basin area lies within Rwanda, Burundi, Tanzania and Uganda.
The site is on the border between Uganda and Tanzania and includes dams and a short headrace and tailrace founded on largely varying ground conditions
Mara nyingi boda zetu zisizokuwa na threat na faida huwa zinakuwa hovyo nilivyosikiaIla game reserve upo upande wa Tanzania ukishapita mulongo custom watu wanavuka vizuri upande wa Uganda maduka makubwa na wenyeji ndiyo wengi na Barbara za lami wao sisi vumbi wenzetu wametupita parefu mkuu