Rais Samia ashiriki Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kufua Umeme wa Kikagati Murongo, Uganda, Mei 25, 2023

Nimeishi pale murongo kwakweli wanakijiji watanufaika I'la hapo hapo wenzetu Uganda mtambo wao nimkubwa walituwahi kutangulia kujenga kwakuwa uzalishaji umeweka jirani jirani lingekuwa sisi wenyewe tungepata kv nyingi
Mkuu unajua lemira na isuki??
 
Wababishaji wa kiswahili. Megawati 14 mirais miwili. Ingekuwa Japan kitu kama hii anafungua mkuu wa kitengo na watu wanaendelea na maisha. Shame on them.
 
Alipotaja jina la magufuli mlizionaje sura za viongozi wenza? walinuna, walicheka au walijikausha!!!! Mlio na tv mtusimulie
 
Ni ndogo sana mto kagera umegawa boda alafu game reserves zimechukuwa eneo kubwa upande uganda ndiyo kumechangamka
Game reserves zipo upande wa Tz?

Ila wapo waganda na wa Tz wanaovuka ?
 
Yaani hujakaa na wataalamu wako, kuangalia mradi una athari gani kwa nchi yako, wewe unaamua tu kuwapa ruhusa watu wa nchi nyingine waweke mradi katika chanzo cha maji ya ziwa victoria!.
 
Yaani hujakaa na wataalamu wako, kuangalia mradi una athari gani kwa nchi yako, wewe unaamua tu kuwapa ruhusa watu wa nchi nyingine waweke mradi katika chanzo cha maji ya ziwa victoria!.
Ule mradi sisi tunafaidi kikubwa kwa maana mto sehemu kubwa maji yamelalia Uganda maporomoko yapo Uganda sehemu yetu kidogo sana na hujui mto kagera vizuri ule mto umekaa Uganda kikubwa kwetu umekuja kuingia Tanzania kidogo alafu kule mwisho ziwa Victoria mto umemwaga maji upande wa uganda ila pale mulongo sisi tunafaidi zaidi
 
Game reserves zipo upande wa Tz?

Ila wapo waganda na wa Tz wanaovuka ?
Ila game reserve upo upande wa Tanzania ukishapita mulongo custom watu wanavuka vizuri upande wa Uganda maduka makubwa na wenyeji ndiyo wengi na Barbara za lami wao sisi vumbi wenzetu wametupita parefu mkuu
 
Hiyo kofia aliyovaa mzee baba ni kofia ya chuma aseeee , ukilenga risasi inadunda
 
Hatimaye wana Murongo tumefikiwa. Tunakushukuru sana huu mradi kukamilika.
Ongeza minofu kidogo.
Mradi uligharimu kiasi gani. Hiyo pesa nayo ilikopwa?

Uganda wanatuuzia umeme, kwa hiyo ni mradi wa Uganda, au siyo?

Kuna mengi yasiyofahamika kuhusu huu mradi!

Ule mradi wa kule Rwanda na Burundi, mbona wenyewe haukamiliki? Ni siku nyingi sana tokea ujenzi wa mradi huo uanze, hadi leo umeme bado haujazalishwa, tatizo ni nini hasa? Huo mradi ni kama ule wa SGR ya Dar kwenda Morogoro! Stori chungu nzima, lakini hakuna kinachoonekana kikifanyika kuukamilisha.
 
Who 're the investors?
 
Who 're the investors?
NI Binafsi kwa sababu ni mradi mdogo. mdogo.
Kikagati is a 16 MW hydropower project in Uganda under development. Norfund has provided project development financing to the company.

KIKAGATI POWER COMPANY LTD​

 
Ila game reserve upo upande wa Tanzania ukishapita mulongo custom watu wanavuka vizuri upande wa Uganda maduka makubwa na wenyeji ndiyo wengi na Barbara za lami wao sisi vumbi wenzetu wametupita parefu mkuu
Mara nyingi boda zetu zisizokuwa na threat na faida huwa zinakuwa hovyo nilivyosikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…