Rais Samia ashiriki kilele cha siku ya Kizimkazi, Paje, Zanzibar, leo Agosti 31, 2023

Rais Samia ashiriki kilele cha siku ya Kizimkazi, Paje, Zanzibar, leo Agosti 31, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha siku ya Kizimkazi - Paje tarehe 31 Agosti, 2023 visiwani Zanzibar.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa Building a Better Tomorrow (BBT) hautaishia Tanzania bara peke, bali utaenda hadi Tanzania visiwani ili usaidie vijana wa huko waweze kunufaika pia.

Amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kutoa maoni kwenye maandaliizi ya dira ya maendeleo ya nchi yetu ambapo kwa sasa Serikali inakusanya maoni ili kukidhi uhitaji wa miaka 25 ijayo.
 
IMG-20230829-WA0005.jpg
 
safi sana, Kizimkazi kumenoga

dollar inazidi paa tu huko
 
Hiki ndio anchoweza kula bata tu na wapigaji ambao kawakumbatia wanalijua hili full masafari.ili watuibie.mm na family yangu pamoja na ukoo wng tunataka bandari tu
 
Back
Top Bottom