FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ma Shaa Allah, siku hizi hata wachezaji wengi wa Ulaya ni Waislam, wakija kupiga kambi ya siku mbili tatu, wasikose pakusali.9. Msikiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma Shaa Allah, siku hizi hata wachezaji wengi wa Ulaya ni Waislam, wakija kupiga kambi ya siku mbili tatu, wasikose pakusali.9. Msikiti
Wewe umeanza kulipa kodi au bado unalipiwa?Hizi ni kodi za watu siyo mali ake binafsi
We ajuza huna akili, unadhani na mimi ni mstaafu kama wewe? mimi nalipa kuanzia kwenye bia mpk ninapolalaWewe umeanza kulipa kodi au bado unalipiwa?
Zipo hata kodi za mifugo zinatumika pia.
Umesikia kuwa TASAF wameijenga upya shule ya msingi aliyosoma mama Samia?
Mama amesema In shaa Allah Mwakani festival ya Kizimkazi kufanyiwa kwenye Sports Acadey mpya *brand new).We ajuza huna akili, unadhani na mimi ni mstaafu kama wewe? mimi nalipa kuanzia kwenye bia mpk ninapolala
Wivu tu.Hizi ni kodi za watu siyo mali ake binafsi
Kutumbua pesa za ummaWizara ya waziri mkuu inafanya nini Zanzibar?Mambo ya muungano yaheshimiwe
Wapuuzi nyie pesa zinatoka baraMama amesema In shaa Allah Mwakani festival ya Kizimkazi kufanyiwa kwenye Sports Acadey mpya *brand new).
Unafahamu sasa Tanzania tuna kiwanja hapo Kizimkazi cha Beach soccer kama Brazil?
Unafahamu kuwa Simba Ports Club wamesha book wawe wa kwanza kuweka kambi hapo Sports Academy?
Tumemwambia mama wasipewe, ufanywe mnada wa kimataifa, ataelipa zaidi ndiye wa kwanza.
We muda wa kuja kuandika humu umeutoa wapi.Sad, sijui muda wa matamasha kama haya wanatoa wapi!
Mwananchi apambane, akamuliwe kodi zikatapanywe kama hivi...
We umeweza kufanya nini mpaka sahiviHiki ndio anchoweza kula bata tu na wapigaji ambao kawakumbatia wanalijua hili full masafari.ili watuibie.mm na family yangu pamoja na ukoo wng tunataka bandari tu
Gharama zake....Ameenda kwa gharama za nani?
SawaGharama zake....
Kwa namna gani?Sio mbaya kuvutia Watalii.
Kea kubuni Matamasha mbalimbali.Kwa namna gani?