Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
babu yakoAmeenda kwa gharama za nani?
Sad, sijui muda wa matamasha kama haya wanatoa wapi!Then She is the Think Tank wa Nchi hii. Tusubiri sana maendeleo,
I like composure ya PMRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha siku ya Kizimkazi - Paje tarehe 31 Agosti, 2023 visiwani Zanzibar.
Inasikitisha sana, mawazor, wakuu wa vyombo vya usalama karibu wote wapo huko.Sad, sijui muda wa matamasha kama haya wanatoa wapi!
Mwananchi apambane, akamuliwe kodi zikatapanywe kama hivi...
Zako.Ameenda kwa gharama za nani?
Mama anafanya kuliko Ulaya.
kuwadi la warabu.za
babu yako
Huna shemeji au mjomba wa Kiarabu wewe?kuwadi la warabu.
Wivu tuAmeenda kwa gharama za nani?
Mkoa wa wanamichezo kama Mbeya hakuna hata uwanja wa maana.Huu upuuzi ufike mwisho.
Hizi ni kodi za watu siyo mali ake binafsiWivu tu
Sema huna nauli pamoja na uchawa wako umeachwa, wangekupa hata liftSijaenda, natamani ningeenda, fursa za "contacts" nzuri nzuri ni nyingi sana huko, nje nje.