Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma, leo Julai 25, 2024

Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma, leo Julai 25, 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma leo tarehe 25 Julai, 2024.

Siku hii ya kuwakumbuka mashujaa huambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo dua na sala maalum ya kuwaombea mashujaa waliopoteza maisha na kuiombea amani nchi kutoka kwa viongozi wa dini. Pamoja na hayo hufanyika gwaride maalum kwa ajili ya mashujaa wetu.
 
Unamjua ABDULWAHID SYKES??UNAMJUA MSHUME KIYATE??UNAMJUA DOSSA AZIZ??HUWEZI KUWAJUA...
Wote nawajua hao wote walikua marafiki wa babu yangu, Mzee Rupia mbona hayupo hapo?
Dossa alikua na Benz Moja matata sana enzi zile alitumia Mzee mchonga kwenye mikutano ya TANU halafu wote hao waliowahi kulala nyumbani kwa babu yangu huko Njombe enzi hizo, ndie aliyekua don na mjumbe wa TANU na alisapoti sana harakati hizo na wanae wengi welihudumu Ikulu na vitengo wengine walitimkia Mambele,
So harakati zote hizo nazijua vyema sana sema hua hatusemi tu!
😁😁
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma leo tarehe 25 Julai, 2024.

Siku hii ya kuwakumbuka mashujaa huambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo dua na sala maalum ya kuwaombea mashujaa waliopoteza maisha na kuiombea amani nchi kutoka kwa viongozi wa dini. Pamoja na hayo hufanyika gwaride maalum kwa ajili ya mashujaa wetu.

 
 
Back
Top Bottom