Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Siyo kila Jambo kuangalia wengine wanafanya nini, pengine kupitia raisi wetu tukaanza kuona viongozi wengine wa nchi wakihudhuria kwenye mualiko ya namna hii ili kuwaunga mkono vijana wao.
Kwamba unamaanisha kuhudhuria kwenye uzinduzi wa nyimbo za kampeni za ccm kulikuwa na umuhimu mkubwa kuliko kuhudhuria maazimisho ya May Mosi yanayohusu watumishi wa serikali yeye akiwa kama mtumishi nambari moja?
 
Kwamba unamaanisha kuhudhuria kwenye uzinduzi wa nyimbo za kampeni za ccm kulikuwa na umuhimu mkubwa kuliko kuhudhuria maazimisho ya May Mosi yanayohusu watumishi wa serikali yeye akiwa kama mtumishi nambari moja?
Umejiuliza wakati huo alikuwa na majukumu Gani mpaka akashindwa kuhudhuria?
 
Back
Top Bottom