Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Ndio maana mpaka leo Serikali toka Uhuru inahangaika kujenga shule, hospitality na Barabara na bado mambo hayaelewiki.

Time management hasa kwa watu wenye mamlaka kubwakubwa ingeweza kuleta changes kubwa sana positive ikitumika vizuri.

Masaa mawili kila chuo kikuu kingepeleka wawakilishi 10 Ikulu kufanya debate namna yakuboresha Elimu yetu na nini kifanyike kusaidia kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wetu mitaani.
 
Yaani rais unaenda kuhudhuria
Tamasha la wakata UNO sijui bongo fleva 😄
Hii dharau sana
Sema nchi imekuwa ya kisaanii sanii tu

Ova
Sasa Mshauri wake ndo yule Waziri Salum Rajab Alifeli la saba,elimu ya kuruani,wanaomshauri Samia wanataka wapate per Diem nyingi kama kadri watakavyoweza.Ndo maana wanawasiliana na mabalozi huko watafute functions ili Samia aende,Samia akienda na wao wameenda.
 
Kila saa ni muhimu sana kwa kiongozi wa Taifa.

Hayo masaa mawili angefanya tathmini ya nini kifanyike UDART iweze kuwa na ufanisi ili kero ya usafiri kwa watu wa Dar es salaam iweze kuisha.

Masaa mawili ya majadiliano yanaweza kabisa kuleta SULUHU ya muda mfupi kuondoa kero ya usafiri Dar es salaam huku tukitafuta nini cha kufanya.

mfano: Masaa mawili yangetoa maamuzi ya kuwapa kazi wenye uwezo wa kuleta coaster mayai hata 100 kila route kurescue situation kwa contract maalum ya miezi sita wakitumia Barabara ya mwendo kasi undersupervision ya UDART.
Wako bize na kuhangaika na wasanii rais unajiweka mbeleee
Wakati waziri,makatibu nk

Ova
 
Ni kudhalilisha taasisi ya Urais
Hapo ndio nchi zetu zinapoharibu heshima zao
Ila sishangai ndio wengi wanaona sawa tu
 
Wewe ndiyo HAMMAZO. Ulitaka Samia aanzishe miradi yake wakati Magufuli alianzisha miradi mingi na haikuwa imevuka hata 35%.

Kichwa chako kimejaa kamasi tu
Ama kweli we popoma.
Angalia ulichozungumza halafu fananisha na nilichokujibu.
Kama hata kuoanisha hujui hasara ya pesa za babaako alizokusomeshea.
 
Kwani hizo ziara yeye hafanyi? Kila Jambo na wakati wake, kwanza Kuna ubaya gani raisi wa nchi kuunga vijana wake mkono katika kazi zao. Uwepo wake katika tukio la namna hiyo ni Heshima kwa tasnia nzima ya muziki.
Kwa cheo alicho nacho inatakikanika upimaji wa uzito wa matukio.
Tukio kama hili alitakiwa ahudhurie waziri wa sanaa na michezo au mkurugenzi wa BASATA.
Embu tumieni bongo zenu kidogo.
 
Sasa Mshauri wake ndo yule Waziri Salum Rajab Alifeli la saba,elimu ya kuruani,wanaomshauri Samia wanataka wapate per Diem nyingi kama kadri watakavyoweza.Ndo maana wanawasiliana na mabalozi huko watafute functions ili Samia aende,Samia akienda na wao wameenda.
Duh wanamuingiza kingi

Ova
 
Alikukosea kwa kuanza kujenga game changer Stieggler zaidi ya 2000MW.
Alikukosea kwa kuifufua ATCL na kuwanunuli midege ambayo leo tunazurula nayo Tu angani makada wa chama.
Alikukosea kujenga SGR Dar-Moro- dom-Shy - Mwz.
Alikukosea kwa kujenga 6 x lane Dar to Kibaha.
Alikukosea kwa kujenga Daraja pale Busisi kuunganisha Mwanza, Geita to Bukoba Kwa urahisi.
ATCL ina faida gani? Kwani kabla hajafufua ATCL tulikuwa hatupandi ndege?

Unaongelea six lane za Kimara -Kibaha lakini unasahau UNYAMA wake wa kutowafidia wenye nyumba zilizobomolewa.

Hilo shetani ndiyo maana lilikufa tu pamoja na kuiba uchaguzi wote wa 2020
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City.


View: https://www.youtube.com/live/PafgRqkHmNo?si=oHJtx2WgTWFmEp9k

View attachment 2999425
ALICHOZUNGUMZA RAIS SAMIA
Amemshukuru Msanii Harmonize kwa kumualika kwenye hafla hii aliyoiita 'Usiku wa kuutukuza muziki wa Mama'

Rais Samia ameoneshwa kufurahishwa na ukuaji wa Harmonize kwani alivyo sasa ni tofauti na alivyokuwa miaka 8 nyuma.

Amesema mapito ya kimahusiano aliyopitia Harmonize huwapata vijana wengi, na ametaja baadhi kama Ray Vanny, Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz.

Amewapongeza wanawake wote waliolea na kukuza watoto hadi kuwafikisha kwenye mafanikio, wanawake na jeshi makini na jeshi imara.

Amesema amekuwa na kawaida ya kubeba wafanyabiashara kwenye ziara zake, sasa ataanza kwenda na wasanii ili kufungua zaidi nchi na kukuza tasnia hiyo.

Amewasaa wasanii wa muziki na filamu kuwekeza kwenye maisha yao kwani hawatafanya kazi hizo milele. Uwekezaji huo utawasaidia pindi watakapokuwa hawawezi tena kufanya kazi wanazofanya sasa.

Swali lakizushi akatikea msanii kutoa album kumsifia TAL na akaalikwa na viongozi wengine je watahudhuria? Au kuna wasanii wao na vijana wao wanaowasifia wao tu ndio huwakubali? Kama ni hivyo basi niubaguzi mkuu kabisa na hiyo album inatumika kama sehemu yakampeni kwa namna fulani which is very unfair kwenye ushindani kwa mgombea alieko madarakani
 
Ama kweli we popoma.
Angalia ulichozungumza halafu fananisha na nilichokujibu.
Kama hata kuoanisha hujui hasara ya pesa za babaako alizokusomeshea.
Nafuu niwe popoma kuliko kuunga mambo ya kishamba ya kula mahindi barabarani? Nchi hii haitatawaliwa tena na mshamba kutoka Kolomije
Screenshot_20240526_145316_Google.jpg
 
Nafuu niwe popoma kuliko kuunga mambo ya kishamba ya kula mahindi barabarani? Nchi hii haitatawaliwa tena na mshamba kutoka Kolomije
View attachment 2999941
Nakuacha ulitafakari hili
Screenshot_2024-05-26-14-49-41-35_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-26-14-49-54-85_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-26-14-50-54-15_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
.
Kipindi Tanzania inaongozwa na huyo anayekula muhindi barabarani Tanzania ilikua MIDDLE LOW-INCOME COUNTRY.
Na ilikua amongst nations with acute poverty/umasikini wa kawaida.
Ila sasa hivi inaongozwa na mjanja imekua 31st POOREST NATION IN THE WORLD with intense poverty/UMASIKINI MKUBWA AU ULIOKITHIRI.
Una akili yenye poor reasoning tuombee mwanao asirithi hizo akili.
 
Back
Top Bottom