Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Hayuko hapa kukufurahisha wewe. Endelea kufa na disappointments zakoKwa hili hapana I was disappointed... Angemtuma waziri wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayuko hapa kukufurahisha wewe. Endelea kufa na disappointments zakoKwa hili hapana I was disappointed... Angemtuma waziri wake
Ni kweli wananiongoza ila sio kwa ridhaa, hata huko Gabon wanaongozwa ila na mwanajeshi, hivyo issue sio kuongoza, ila ni jinsi gani umepata uongozi ndio heshima yako ilipo.Ndio wanakuongoza mzee inabidi uwe mpole maamuzi yako mengine na hasira yaelekeze 2025!
Nyie ndo mnaona Leo? Hilo ni goal, kubalini tu kuwa ni goal tusubiri baada ya miaka 6, Rais ana kwenda kusuluhisha wasanii, si ujinga tu huo wakati hawezi hata kutamka neno GDP.Yaani Mabeyo katuangusha kwa kweli.Kina Lukuvi ,Bashiru waliona mbali mno.
Alinishangaza pale alisema anakwenda Kolea kwenye tamasha la utamaduni .Atakwenda na wasanii .Ila Jamani Rais kwenda kwenye tamasha la utamaduni kuna tija gani kwa Taifa zaidi ya kutumia pesa.Maana huo msafara anaoongozana nao wote gharama ni serikali na this time kasema atakwenda na wasanii pia.Nyie ndo mnaona Leo? Hilo ni goal, kubalini tu kuwa ni goal tusubiri baada ya miaka 6, Rais ana kwenda kusuluhisha wasanii, si ujinga tu huo wakati hawezi hata kutamka neno GDP.
Sawa ridhaa yako kaitumie vyema 2025 tuwang'oe CCM!Ni kweli wananiongoza ila sio kwa ridhaa, hata huko Gabon wanaongozwa ila na mwanajeshi, hivyo issue sio kuongoza, ila ni jinsi gani umepata uongozi ndio heshima yako ilipo.
Tanzania hakuna uchaguzi Bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa hiyo 2025 Kuna lipi la ajabu?Sawa ridhaa yako kaitumie vyema 2025 tuwang'oe CCM!
Tuwaache watawale milele!Tanzania hakuna uchaguzi Bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa hiyo 2025 Kuna lipi la ajabu?
Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi yataleta mabadiliko ya kweli.Tuwaache watawale milele!
Amevuta bangi chafu(makushabu)Mitambo sijui mibovu harmo sauti inatoka km kakabwa na mwiba wa samaki 🤣🤣🤣
Jeshi wanakula vizuri wanalala vizuri!Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi yataleta mabadiliko ya kweli.
Na we unatetea nini?Unasema maendeleo ni zero kwa vile siyo mfuatiliaji. Samia kapiga kazi sana kwenye sekta ya afya, elimu na ujenzi.
Unaufahamu wimbo wa amelowa au?We jamaa Matusi gani Unazungumzia ??
Mbona harmonizer kaimba nyimbo nzurii Sanaa mbele ya mama
Acha majinga.....waziri tena naibu waziri wa michezo angetoshaMimi naona ni kawaida maana hata wewe UNAWEZA ukawa RAISI na haikuondolei ""UTASHI AU KUA WEWE""
Haijawai kutokea tangu tumepata Uhuru kupata RAISI aka udhuria uzinduzi wa albamu ya msanii wa music
Kwa music industry Ni Jambo jema mama kuhudhuria Ni bonge la support
Yaani rais unaenda kuhudhuriaYaani Mabeyo katuangusha kwa kweli.Kina Lukuvi ,Bashiru waliona mbali mno.
Kesho ataenda uzinduzi wa dula makabila au giggy moneyAcha majinga.....waziri tena naibu waziri wa michezo angetosha