Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo afanyi haya bila protection or backup, backup ni nani?GTs,
Dkt Samia na jopo lake asilaumiwe kwa yanayoendelea. Dogo ndiyo tatizo, yaani Muliro mcheki sura yake yaani mwili na roho havisomani kabisa na ukizingatia ni January.
Tatizo anaogopwa tu kwa kivuli, yaani ukimzingua PDF linasoma hata kama usiku wa manane. Kinachoonekana ukipewa amri toka kwa dogo watu wanaogopa PDF hata Kama SSH25 hahusiki kabisa na inaonekana matukio yote kabisa hata yeye SSH25 anayasikia kwenye vyombo kama mimi na wewe. Dkt Slaa atatoka na wala hatofunguliwa kesi kabisa ila taswira ya SSH25 inaharibika mno.Dogo afanyi haya bila protection or backup, backup ni nani?
Sijui itakuwaje maana dogo ndiyo beki, mshambuliaji, mtu wa kati na mfuga magori. Unakumbuka 2010 kwa BT? Familia ndiyo ilimbeba, so haya yanajirudia. Ila mi nasema tuna very weak institutions kwa sababu haiwezekani mtu mmoja ayumbishe woteeeee hahahaKura za maoni CCM mwaka huu itakuwa kila MTU kambale 😂😂
Mkuu wa polishi tanganyika.
Sina D mbiliGTs,
Dkt Samia na jopo lake asilaumiwe kwa yanayoendelea. Dogo ndiyo tatizo, yaani Muliro mcheki sura yake yaani mwili na roho havisomani kabisa na ukizingatia ni January.
Hahaha inatakiwa uwe mfuatiliaji. Sema naona 2025 inazidi kuwa ngumu sana kwa SSH25, shinda iliyopo vitu vingi haviratibiwi na mkono mrefu kiasi kwamba hata kibao kilivyopasuliwa kisa kila mkuna nazi alitaka kukitumia basi dogo na FAM25 basi wakaona isiwe tabu na yeye SSH25 alisikia taarifa kama sisi maana dogo na FAM25 waliona sasa hii aibu. Tumuombe Mungu tu SSH25 Mungu amfungue uelewaIli mtu aweze kuelewa ulikiandika inampasa awe na D mbili
Otherwise, hawezi kuambulia chochote
Hata hivyo, Siasa ni Mipango na mbinu
Kuna watu wamekaa pembeni wanasukuma kete, mlengwa akija kushtuka ameliwa pakubwa
Tatizo tangu Mwaka 2015 anaingia JPM, Kuna watu walijiandaa kuwa Wagombea 2025Hahaha inatakiwa uwe mfuatiliaji. Sema naona 2025 inazidi kuwa ngumu sana kwa SSH25, shinda iliyopo vitu vingi haviratibiwi na mkono mrefu kiasi kwamba hata kibao kilivyopasuliwa kisa kila mkuna nazi alitaka kukitumia basi dogo na FAM25 basi wakaona isiwe tabu na yeye SSH25 alisikia taarifa kama sisi maana dogo na FAM25 waliona sasa hii aibu. Tumuombe Mungu tu SSH25 Mungu amfungue uelewa
Acha wajivuruge na wavurugane.....fujo za chadema wao zinawahusu nini?Tatizo anaogopwa tu kwa kivuli, yaani ukimzingua PDF linasoma hata kama usiku wa manane. Kinachoonekana ukipewa amri toka kwa dogo watu wanaogopa PDF hata Kama SSH25 hahusiki kabisa na inaonekana matukio yote kabisa hata yeye SSH25 anayasikia kwenye vyombo kama mimi na wewe. Dkt Slaa atatoka na wala hatofunguliwa kesi kabisa ila taswira ya SSH25 inaharibika mno.
Ni kweli yaani kwa upepo ulivyo ni 10% yeye kupita maana hilo kundi lina mizizi iliyojichimbia. Ila kibaya kundi la dogo linampotosha sana. Mfano AK yule wa EA unakuta anatgawa njuruku balaa yaani unaweza kuta anagawa 1% ya zote zingine kwa ajili ya wajumbe hahaha. Sasa haya mashindano sijui yataishia wapi. Ila ningekuwa mi SSH yaani ningeachana nao nikarudi zangu kizimkazi. Ila kama anatumia technics kuleta utulivu halafu 2025 hii aje ghafla asema mimi siye 25 aisee litakuwa bonge la surpriseTatizo tangu Mwaka 2015 anaingia JPM, Kuna watu walijiandaa kuwa Wagombea 2025
Sasa ile ajali ndiyo ikafanya Mipango ya watu iharibike
Hata hivyo kabla ya kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu, huenda aliyepo asiwe mgombea tena
Maana Kuna watu wanasukuma kete zao Kwa ustadi Mkubwa nyuma ya Pazia
Basi ndio maana FAM25 anataka kugombea ashajua huko mbeleni mambo MswanoNi kweli yaani kwa upepo ulivyo ni 10% yeye kupita maana hilo kundi lina mizizi iliyojichimbia. Ila kibaya kundi la dogo linampotosha sana. Mfano AK yule wa EA unakuta anatgawa njuruku balaa yaani unaweza kuta anagawa 1% ya zote zingine kwa ajili ya wajumbe hahaha. Sasa haya mashindano sijui yataishia wapi. Ila ningekuwa mi SSH yaani ningeachana nao nikarudi zangu kizimkazi. Ila kama anatumia technics kuleta utulivu halafu 2025 hii aje ghafla asema mimi siye 25 aisee litakuwa bonge la surprise
Kutakakuwa na ushindani Mkubwa sana, labda atumie kofia ya Uenyekiti na Urais at perNi kweli yaani kwa upepo ulivyo ni 10% yeye kupita maana hilo kundi lina mizizi iliyojichimbia. Ila kibaya kundi la dogo linampotosha sana. Mfano AK yule wa EA unakuta anatgawa njuruku balaa yaani unaweza kuta anagawa 1% ya zote zingine kwa ajili ya wajumbe hahaha. Sasa haya mashindano sijui yataishia wapi. Ila ningekuwa mi SSH yaani ningeachana nao nikarudi zangu kizimkazi. Ila kama anatumia technics kuleta utulivu halafu 2025 hii aje ghafla asema mimi siye 25 aisee litakuwa bonge la surprise
Kura za maoni CCM mwaka huu itakuwa kila MTU kambale 😂😂
Bush Dokta SSH25 ugumu upo kwenye kinyang’anyiro cha ndani bosi. CCM 2025 lazima ishinde! Tatizo kubwa la upinzani ni kukosa alignment na mifumo.Basi ndio maana FAM25 anataka kugombea ashajua huko mbeleni mambo Mswano
OkBush Dokta SSH25 ugumu upo kwenye kinyang’anyiro cha ndani bosi. CCM 2025 lazima ishinde! Tatizo kubwa la upinzani ni kukosa alignment na mifumo.