Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nadhani chawa ndiyo tatizo. Ila mwaka huu tutasikia mengi, vifo zaidi na kusalitiana zaidi ya FAM na TLKutakakuwa na ushindani Mkubwa sana, labda atumie kofia ya Uenyekiti na Urais at per
Vinginevyo anaweza kujikuta yupo nje ya ulingo
Huwa siachi kujiuliza, mtu anauhakika wa kula hadi kufa kwake lakini bado ana ng'ang'ania kuendelea kugombea wakati hana uungwaji Mkono Kwa sababu zinginezo
Na bahati mbaya ameshatumia fedha nyingi kutafuta uungwaji mkono
Mwaka huu Akina Membe KimyaaKutakakuwa na ushindani Mkubwa sana, labda atumie kofia ya Uenyekiti na Urais at per
Vinginevyo anaweza kujikuta yupo nje ya ulingo
Huwa siachi kujiuliza, mtu anauhakika wa kula hadi kufa kwake lakini bado ana ng'ang'ania kuendelea kugombea wakati hana uungwaji Mkono Kwa sababu zinginezo
Na bahati mbaya ameshatumia fedha nyingi kutafuta uungwaji mkono
Vifo tena?Mi nadhani chawa ndiyo tatizo. Ila mwaka huu tutasikia mengi, vifo zaidi na kusalitiana zaidi ya FAM na TL
Kama Kabendera tušNa wewe ulitakiwa ukaungane na Dakta Slaa uthibitishe hizi kauliš¼
Hao machawa ndiyo tatizo zaidi, Kuna mtabiri mmoja niliona utabiri wake Mwaka JanaMi nadhani chawa ndiyo tatizo. Ila mwaka huu tutasikia mengi, vifo zaidi na kusalitiana zaidi ya FAM na TL
Membe si alishafariki?Mwaka huu Akina Membe Kimyaa
Vipande vya Kibao vikatupwa Ununio,Hahaha inatakiwa uwe mfuatiliaji. Sema naona 2025 inazidi kuwa ngumu sana kwa SSH25, shinda iliyopo vitu vingi haviratibiwi na mkono mrefu kiasi kwamba hata kibao kilivyopasuliwa kisa kila mkuna nazi alitaka kukitumia basi dogo na FAM25 basi wakaona isiwe tabu na yeye SSH25 alisikia taarifa kama sisi maana dogo na FAM25 waliona sasa hii aibu. Tumuombe Mungu tu SSH25 Mungu amfungue uelewa
HiiNi kweli yaani kwa upepo ulivyo ni 10% yeye kupita maana hilo kundi lina mizizi iliyojichimbia. Ila kibaya kundi la dogo linampotosha sana. Mfano AK yule wa EA unakuta anatgawa njuruku balaa yaani unaweza kuta anagawa 1% ya zote zingine kwa ajili ya wajumbe hahaha. Sasa haya mashindano sijui yataishia wapi. Ila ningekuwa mi SSH yaani ningeachana nao nikarudi zangu kizimkazi. Ila kama anatumia technics kuleta utulivu halafu 2025 hii aje ghafla asema mimi siye 25 aisee litakuwa bonge la surprise