Rais Samia asiwabembeleze Polisi kwenye suala la uonevu kwa Wananchi

Rais Samia asiwabembeleze Polisi kwenye suala la uonevu kwa Wananchi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Polisi hawaruhusiwi kisheria kuwapiga, kuwatesa au kuwapa vibano watuhumiwa.



Hakuna asiyejua kuwa polisi kinyume cha sheria na pasipokuwa na uhalali wowote huwawapiga, huwatesa, na hata huwauwa watuhumiwa. Hii ikiwamo kufanya hivyo kwa jeuri, dhuluma, na hata kwa makusudi tu.

Inafahamika kuwa habari nyingi za watuhumiwa kuuwawa eti kwa sababu waliokuwa wakipambana au kutaka kuwatoroka polisi, mara nyingi ni za uongo.

Inasikitisha na kufikirisha zaidi rais badala ya kuvikemea vitendo hivi na kuwawajibisha anawalilia hali. Tena akiwataka kupunguza vipigo wala si kukoma.

Tungali tuna safari ndefu.
 
Nianze kwa kumpongeza Mh Rais wetu mpendwa samia Suluhu Hassan kwa upongozi dhabiti tangu kaingia madarani kama Raisi wetu.
1. Kuna issue ya kuwapa watu kesi kwa visa na hila hapa awe mkali sana MAANA KESHA KUWA KAMA ANAMBAMBELEZA IGP/DPP/CJ NK walio mahabusu na kaesi zina miaka mitatu/4/5/6/7/8nk aagize watoke na ushahidi ukikamilika wapelekwe mahakamani.
2.Polisi Mh Rais kweli ni aibu sana wanakula rushwa sana tena wazi wazi huwezi peleka issue yoyote bila kuombwa rushwa yaani kumeoza mnoo mnoooo ....

MAMA FANYA JAMBO
 
Polisi hawaruhusiwi kisheria kuwapiga, kuwatesa au kuwapa vibano watuhumiwa.

View attachment 1909050

Hakuna asiyejua kuwa polisi kinyume cha sheria na pasipokuwa na uhalali wowote huwawapiga, huwatesa, na hata huwauwa watuhumiwa. Hii ikiwamo kufanya hivyo kwa jeuri, dhuluma, na hata kwa makusudi tu.

Inafahamika kuwa habari nyingi za watuhumiwa kuuwawa eti kwa sababu waliokuwa wakipambana au kutaka kuwatoroka polisi, mara nyingi ni za uongo.

Inasikitisha na kufikirisha zaidi rais badala ya kuvikemea vitendo hivi na kuwawajibisha anawalilia hali. Tena akiwataka kupunguza vipigo wala si kukoma.

Tungali tuna safari ndefu.
Tatizo ni kuwa hata Rais ni mnufaika wa mateso ya wananchi kwa sababu anapenda kutawala kwa vitisho na kuogopwa!
 
Polisi hawaruhusiwi kisheria kuwapiga, kuwatesa au kuwapa vibano watuhumiwa.

View attachment 1909050

Hakuna asiyejua kuwa polisi kinyume cha sheria na pasipokuwa na uhalali wowote huwawapiga, huwatesa, na hata huwauwa watuhumiwa. Hii ikiwamo kufanya hivyo kwa jeuri, dhuluma, na hata kwa makusudi tu.

Inafahamika kuwa habari nyingi za watuhumiwa kuuwawa eti kwa sababu waliokuwa wakipambana au kutaka kuwatoroka polisi, mara nyingi ni za uongo.

Inasikitisha na kufikirisha zaidi rais badala ya kuvikemea vitendo hivi na kuwawajibisha anawalilia hali. Tena akiwataka kupunguza vipigo wala si kukoma.

Tungali tuna safari ndefu.

Hawezi kuwachukulia hatua yoyote hao polisi, maana wao ndio nguzo yao ya kubaki madarakani. Polisi wanajua kwa uhakika kuwa serikali hii haiko madarakani kwa kura halali, bali kwa wizi wa kura chini ya uratibu wa vyombo vya dola.
 
Mmamaaaa mama uyoooo mama mamauyo mama mamauyo maama , mamayetu eeh, ngoja siku wamvue shungi ndio atakuja kukjua mwana wa mwenzio mkubwa mwezie , time will tell
 
Mapolice ni waonevu na huchukua hela za watu Ili wasiwambambikie kesi, sio watu wakuhurumia jeshi letu hili la kiharamia
 
Nianze kwa kumpongeza Mh Rais wetu mpendwa samia Suluhu Hassan kwa upongozi dhabiti tangu kaingia madarani kama Raisi wetu.
1. Kuna issue ya kuwapa watu kesi kwa visa na hila hapa awe mkali sana MAANA KESHA KUWA KAMA ANAMBAMBELEZA IGP/DPP/CJ NK walio mahabusu na kaesi zina miaka mitatu/4/5/6/7/8nk aagize watoke na ushahidi ukikamilika wapelekwe mahakamani.
2.Polisi Mh Rais kweli ni aibu sana wanakula rushwa sana tena wazi wazi huwezi peleka issue yoyote bila kuombwa rushwa yaani kumeoza mnoo mnoooo ....

MAMA FANYA JAMBO
Nami nakazia kidogo hapo;
Jiulize namna polisi wanavyowapiga wanachama wa Chadema wanaenda mahakamani kusikiliza kesi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe, unaweza kuamini kuwa hapa sasa sio Tanzania, ukiingia mahakamani ukiwa na fulana iliyoandikwa Katiba Mpya, hakika watakugombea kama mpira wa kona. Hali hii inaendelea kuzoeleka na huko mbele wananchi walio wengi watapata kipigo si kutokana na kukiuka sheria, bali kwa matakwa ya askari Polisi.

Tunajisifu kuwa Nchi inayozingatia Utawala bora, ni vema kuhakikisha misingi ya utawala bora hasa utawala wa sheria unazingatia kuanzia kwa vyombo vya dola, viongozi wa kiserikali na wananchi kwa ujumla.

Tanzania ni yetu sote, tusiumizane bila sababu
 
Back
Top Bottom