narudi kesho
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 177
- 270
Nyie endeleeni tu kumchuria huyo mama yenu. Yeye mwenyewe alishasema hataki tena.Hili swali kidogo linanitatiza. Je, Rais mama yetu Dkt. Samia atakuwepo hadi 2035? Nauliza hivyo maana utaratibu wetu wa kuongoza nchi ni 10 years.
Sasa hapa Rais wetu atakuwa ameongoza kwa 14 years. Kwa kule USA Trump ameambiwa hatakama atashinda uchaguzi ila ata ongoza kwa muhula 1 ambao ni 4 years.
Hapo kwetu ipoje mi naona akiongoza hadi 2030 na uchaguzi wa Rais mwakani usifanyike ila chaguzi zengine zifanyike. Hayo ni maoni yangu unaruhusiwa kunikosoa.
Mnaoelewa hili zaidi nahitaji muongozo wenu.
Dah! Wewe ni member mpya kweli?Hili swali kidogo linanitatiza. Je, Rais mama yetu Dkt. Samia atakuwepo hadi 2035? Nauliza hivyo maana utaratibu wetu wa kuongoza nchi ni 10 years.
Sasa hapa Rais wetu atakuwa ameongoza kwa 14 years. Kwa kule USA Trump ameambiwa hatakama atashinda uchaguzi ila ata ongoza kwa muhula 1 ambao ni 4 years.
Hapo kwetu ipoje mi naona akiongoza hadi 2030 na uchaguzi wa Rais mwakani usifanyike ila chaguzi zengine zifanyike. Hayo ni maoni yangu unaruhusiwa kunikosoa.
Mnaoelewa hili zaidi nahitaji muongozo wenu.
JF imepata shambulizi la viwavi jeshiDah! Wewe ni member mpya kweli?
Umejiunga ijumaa hata wiki huna.
Halafu unasema eti narudi kesho
Hata usiporudi.
ipi hiyo ID nyengineDah! Wewe ni member mpya kweli?
Umejiunga ijumaa hata wiki huna.
Halafu unasema eti narudi kesho
Hata usiporudi ni sawa tu maana una id nyingine tayari.
sawa kama ni hivoTunapotezeana mda na kujaziana seva.
Jamani hii huru anaruhusiwa mtu yeyote kuulizaKuna IDs mpya zinakuja na hii suggestion Kila mara mnaspin nini!!?
Kama uhakika upo kwanini kuuliza uliza was ids mpya!!?mnataka kumfanyaje mhusika kama Kila kitu in place!!?
Na mimi nauliza tu!!
Hasta jpm ilikua hivihivi eti Bunge la vipindi saba!!
Jamani hii huru anaruhusiwa mtu yeyote kuulizaKuna IDs mpya zinakuja na hii suggestion Kila mara mnaspin nini!!?
Kama uhakika upo kwanini kuuliza uliza was ids mpya!!?mnataka kumfanyaje mhusika kama Kila kitu in place!!?
Na mimi nauliza tu!!
Hasta jpm ilikua hivihivi eti Bunge la vipindi saba!!
Katiba inakifungu kuwa awamu itahesabika kuwa haijatimia ikiwa tu aliyekaimu kaongeza kwa less than 3 years, yeye hii awamu kaongoza kwa more than 4 years so anaruhusiwa kuongoza tena miaka 5 unless wabadili vifungu au wapuuzie katiba kama kawaida yao.Hili swali kidogo linanitatiza. Je, Rais mama yetu Dkt. Samia atakuwepo hadi 2035? Nauliza hivyo maana utaratibu wetu wa kuongoza nchi ni 10 years.
Sasa hapa Rais wetu atakuwa ameongoza kwa 14 years. Kwa kule USA Trump ameambiwa hatakama atashinda uchaguzi ila ata ongoza kwa muhula 1 ambao ni 4 years.
Hapo kwetu ipoje mi naona akiongoza hadi 2030 na uchaguzi wa Rais mwakani usifanyike ila chaguzi zengine zifanyike. Hayo ni maoni yangu unaruhusiwa kunikosoa.
Mnaoelewa hili zaidi nahitaji muongozo wenu.
Sawa ahsante kwa majibu mazuri maana member wengine wanalaumu tu.Katiba inakifungu kuwa awamu itahesabika kuwa haijatimia ikiwa tu aliyekaimu kaongeza kwa less than 3 years, yeye hii awamu kaongoza kwa more than 4 years so anaruhusiwa kuongoza tena miaka 5 unless wabadili vifungu au wapuuzie katiba kama kawaida yao.