narudi kesho
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 177
- 270
Hili swali kidogo linanitatiza. Je, Rais mama yetu Dkt. Samia atakuwepo hadi 2035? Nauliza hivyo maana utaratibu wetu wa kuongoza nchi ni 10 years.
Sasa hapa Rais wetu atakuwa ameongoza kwa 14 years. Kwa kule USA Trump ameambiwa hatakama atashinda uchaguzi ila ata ongoza kwa muhula 1 ambao ni 4 years.
Hapo kwetu ipoje mi naona akiongoza hadi 2030 na uchaguzi wa Rais mwakani usifanyike ila chaguzi zengine zifanyike. Hayo ni maoni yangu unaruhusiwa kunikosoa.
Mnaoelewa hili zaidi nahitaji muongozo wenu.
Sasa hapa Rais wetu atakuwa ameongoza kwa 14 years. Kwa kule USA Trump ameambiwa hatakama atashinda uchaguzi ila ata ongoza kwa muhula 1 ambao ni 4 years.
Hapo kwetu ipoje mi naona akiongoza hadi 2030 na uchaguzi wa Rais mwakani usifanyike ila chaguzi zengine zifanyike. Hayo ni maoni yangu unaruhusiwa kunikosoa.
Mnaoelewa hili zaidi nahitaji muongozo wenu.