Rais Samia atampata wapi ‘Kawawa’ wake, awe mwaminifu kama Rashid kwa Nyerere

Rais Samia atampata wapi ‘Kawawa’ wake, awe mwaminifu kama Rashid kwa Nyerere

Kabla ya yeye kumtafuta Kawawa wake je na yeye alikuwa kawawa kwa aliyekuwa Nyerere wake? Coz kitendo cha kuwa royal kwa mtu ,kubeba mizigo yake ,kubeba lawama zake ni lazima uamini juu ya mawazo yake,maamuzi yake,matendo yake kinyume na hapo ww utakuwa hapo kwa ajili ya ajira na mshahara tu.
 
Nyakati za vyama vingi na uhuru mkubwa wa habari ni ngumu sana Rais Samia kumpata Kawawa wake.

Wanaomzunguka wanaangalia vyeo vyao hawana yale mapenzi ya nchi yenye kuongozwa na uzalendo.

Na amegundua ugumu wa kuwa na msaidizi mwaminifu wa dhati akawakumbusha wale wafukuzia urais watulie kwanza mpaka kikikaribia kipindi cha kuelekea uchaguzi wa 2025.
 
Nyerere kwenye kitabu cha Tanzania na hatima ya uongozi aliandika kuwa, watu kama Kawawa hawazaliwi mara nyingi duniani. Ni ukweli mtupu.

Sijui alichukuliaje mambo ila alikuwa muaminifu mno kwa rafiki yake Nyerere. Na ni kweli, ulikuwa ukimgusa Kawawa, lazima Nyerere akutolee macho.

RIP Rashid Mfaume Kawawa.
 
Kawawa alikua na Elimu gani? Na Nyerere je? Ukijibu swali hili utaelewa unyenyekevu ulitokea wapi?

..sidhani kama kawawa alimheshimu nyerere kwasababu ya kuzidiwa kielimu.

..kwenye masuala ya kazi na utumishi kawawa alikuwa ni mtu anayeheshimu wakubwa zake.

..kuna jamaa aliniambia kawawa alimheshimu sana edward sokoine ambaye alikuja kuwa bosi wake, yaani sokoine waziri mkuu, na kawawa waziri wa ulinzi.
 
Nyerere kwenye kitabu cha Tanzania na hatima ya uongozi aliandika kuwa, watu kama Kawawa hawazaliwi mara nyingi duniani. Ni ukweli mtupu. Sijui alichukuliaje mambo ila alikuwa muaminifu mno kwa rafiki yake Nyerere. Na ni kweli, ulikuwa ukimgusa Kawawa, lazima Nyerere akutolee macho
RIP Rashid Mfaume Kawawa.

Nyerere alisema wakati anampumzisha Kawawa .. Uwaziri mkuu..
Alimuita Kawawa kujadili nani achukue nafasi ya Kawawa... imagine that
 
Hii vita ya kujaribu kumuondoa Majaliwa ili kuilegeza serikali itafanikiwa tu kwa kuwa SSH ni dhaifu, wameshamjaribu kwa vingi vya kijinga amekubali hata hili itafika muda atakubali tu kwa kuwa ni Rais dhaifu, yoyote akikuambia ujinga na ukakubali ujinga wake anakudharua na kukuona hamnazo, ndio hali tuliyo nayo saivi.
 
Kweli kabisa sahizi madaraka ni fursa ya kutimiza ndoto za watu iwe kwa wema au kwa shari😅😅😅 hamna mwanasiasa ambaye yuko kwa ajili ya maslahi ya mwananchi! Hayupo na kama atakuwepo basi ni mmoja katika wanasiasa wote nchu nzima
 
Hii vita ya kujaribu kumuondoa Majaliwa ili kuilegeza serikali itafanikiwa tu kwa kuwa SSH ni dhaifu, wameshamjaribu kwa vingi vya kijinga amekubali hata hili itafika muda atakubali tu kwa kuwa ni Rais dhaifu, yoyote akikuambia ujinga na ukakubali ujinga wake anakudharua na kukuona hamnazo, ndio hali tuliyo nayo saivi.
Hii kauli yako naona ipo kimajungu zaidi kuliko uhalisia.
 
Pengine ins ukweli. Haya mambo ya maisha mtihani sana
Majaliwa anakubalika sana bungeni ni mtu anayejituma na Rais anaujua mchango wake kikazi.

Kuna watu wanamuona Mama dhaifu lakini Hayati alimkubali. Ni yale yale ya akili za mfumo dume.
 
Mkuu ukisikia mabeberu tunao-assume kwamba wapo sasa hivi kipindi kile ndio kulikuwa na mabeberu wa hali ya juu (wewe ukijifanya ku-side na Russia au itikadi zako zikienda ndivyo sivyo you are history) CIA imefanya mengi mkuu..., Fuatilia tu kina Thomas Sankara na Patrice Lumumba ni nini kiliwakuta...

Acha kaka wale Mabeberu ambao kina Polepole na Boss wake wanaowatunga kipindi kile walikuwepo (and they meant business)
Soviet chini ya Michael gorb au yugoslavia imara iliyoachwa na general tito zilisambaratishwa na hizo nchi za magharibi sahihi kabisa alichoandika kama alivyosema bush mdogo aidha uwe na sisi au magaidi siasa za mashariki na magharibi zilikinzana ile hali ya kusema sisi hatuna mlengo wowote ilikuwa ni maneno tu ilikuwa lazima uchague mlengo.
 
Mara nyingi Historia yote ya Nyerere inaweza somwa na usisikie hata jina la Kawawa. Watu wengi hawajui kuwa wakati Kawawa anakuwa 'Waziri Mkuu wa Tanganyika' alikuwa Kiongozi mkubwa kuliko wote Tanganyika kabla haijawa Jamhuri...
Wewe ndio hujui historia hii.

Kwani Nyerere alijiuzuri ili aende kuchunga ng'ombe?

Kawawa alichaguliwa na nani kushika nafasi hiyo ya Waziri Mkuu? Alimpindua Nyerere?

Kawawa awe na tamaa ya uongozi na kung'ang'ania uongozi, ulikuwepo na kuelewa hali ya siasa ilivyokuwa ndani ya serikali hiyo na uhusiano wa wanaoiongoza? Kawawa ang'ang'anie uongozi kwa misingi ipi hasa...; alikuwa na ufasi wake binafsi mbali ya ule uliokuwepo kwa serikali aliyokuwemo?
 
Back
Top Bottom