MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hakuna ata siku moja ya mapumziko, kweli? mama usitufanyie hivyo wanao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe tuondoke kwenye Jumuiya dhalimu.Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inaziunganisha nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza na nchi zilizokuwa makoloni yake.
Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Tanzania inapokea misaada mingi ya kifedha kutoka kwa nchi hii.
Kwa hiyo ni vyema kuwadhihirishia kuwa tupo pamoja nao katika kipindi wanapoomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa taifa lao. Natambua si Tanzania tu ambayo itashusha bendera zake nusu mlingoti, bali mataifa yaliyo mengi ikiwemo nchi zote zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Who was he?Hivi hao "wenzentu" Waingereza waliomboleza kifo cha Magufuli? Ikiwemo bendera za uingereza kupepepea nusu mlingoti nchini uingereza hata kwa nusu saa tu?
Umenena vyema sana naona vijana wako na mihemko kweli kweliTanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inaziunganisha nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza na nchi zilizokuwa makoloni yake.
Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Tanzania inapokea misaada mingi ya kifedha kutoka kwa nchi hii.
Kwa hiyo ni vyema kuwadhihirishia kuwa tupo pamoja nao katika kipindi wanapoomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa taifa lao. Natambua si Tanzania tu ambayo itashusha bendera zake nusu mlingoti, bali mataifa yaliyo mengi ikiwemo nchi zote zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Wa nyukiMalkia wa nini sasa? Au ndo ukoloni mamboleo?
Sikatai kuwasaidia kulia Waingereza. Basi maomboleO yangekuwa hata siku moja tena siku ya maziko lakini kusema siku 5 inaleta picha tunajikombaRais Samia atangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II kilichotokea tarehe 8 Septemba, 2022.
Maombolezo hayo yataanza tarehe 10 Septemba hadi tarehe 14 Septemba.
Katika kipindi hicho bendera za Tanzania zitapepea nusu mlingoti, ikiwa ni pamoja na kwenye balozi zetu.
Taarifa kamili[emoji116
Pesa yao sisi wazalendo hatuitaki lakini viongozi wetu ndiyo wanaitakaACHENI UNAFIKI mbona pesa yao mnaipenda?? Mbona misaada Yao mnapokea? Tena ipepee nusu mlingoti mwaka mzima.....
Subutuuuuu yako wewe! HahahaPesa yao sisi wazalendo hatuitaki lakini viongozi wetu ndiyo wanaitaka
Hatujawahi kuwatuma viongozi kwenda kuomna hiyo mijihela. Wanaenda kuomba kwa sababau wanajua wapi wanazilaACHENI UNAFIKI mbona pesa yao mnaipenda?? Mbona misaada Yao mnapokea? Tena ipepee nusu mlingoti mwaka mzima.....
NaAlikuwa mkuu wa Tanganyika kwa mwaka mmoja na alisaini hati za uhuru.
Kwa mustakabali wa diplomasia ni jambo jema kufanya hili.
Haya tuungane.
100%Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inaziunganisha nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza na nchi zilizokuwa makoloni yake.
Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Tanzania inapokea misaada mingi ya kifedha kutoka kwa nchi hii.
Kwa hiyo ni vyema kuwadhihirishia kuwa tupo pamoja nao katika kipindi wanapoomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa taifa lao. Natambua si Tanzania tu ambayo itashusha bendera zake nusu mlingoti, bali mataifa yaliyo mengi ikiwemo nchi zote zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
HahahaHatujawahi kuwatuma viongozi kwenda kuomna hiyo mijihela. Wanaenda kuomba kwa sababau wanajua wapi wanazila
Na wakizileta hatuzikatai nakuapia.Hahaha