Rais Samia atangaza siku 5 za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth aliyekuwa Mkuu wa Nchi ya Tanganyika

Watueleze lini tunaondoka kwenye utawala wa Kifalme.

Waingereza wametangaza siku za maombolezo.

Tunajipendekeza sana na mabakuli matupu.
 
Tuombe tuondoke kwenye Jumuiya dhalimu.
 
Umenena vyema sana naona vijana wako na mihemko kweli kweli
 
Sikatai kuwasaidia kulia Waingereza. Basi maomboleO yangekuwa hata siku moja tena siku ya maziko lakini kusema siku 5 inaleta picha tunajikomba

Kuna jambo halipo sawa
 
100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…