Rais Samia atangaza siku 5 za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth aliyekuwa Mkuu wa Nchi ya Tanganyika

Rais Samia atangaza siku 5 za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth aliyekuwa Mkuu wa Nchi ya Tanganyika

Mwana JF aliyemkumbusha Rais Samia kupeperusha bendera nusu mlingoti amemuokoa Rais asidukuliwe moyo.
 
Alikuwa mkuu wa Tanganyika kwa mwaka mmoja na alisaini hati za uhuru.

Kwa mustakabali wa diplomasia ni jambo jema kufanya hili.

Haya tuungane.
Kama ndivyo kwanini na sisi tukipata majanga ya vifo wao hawafanyi lolote? Huu unyonge tu wakujitakia, basi...Diplomacy ya one side ina umaana gani na thamani gani kwetu?
 
Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inaziunganisha nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza na nchi zilizokuwa makoloni yake.

Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Tanzania inapokea misaada mingi ya kifedha kutoka kwa nchi hii.

Kwa hiyo ni vyema kuwadhihirishia kuwa tupo pamoja nao katika kipindi wanapoomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa taifa lao. Natambua si Tanzania tu ambayo itashusha bendera zake nusu mlingoti, bali mataifa yaliyo mengi ikiwemo nchi zote zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Kama ndivyo yenyewe U.K ambapo alikuwepo huyo mtawala hatambui nchi za jumuiya yake wanapopatwa na vifo? Diplomacy ya kukandamiza wengine huku wao wakijitukuza inafaida gani kwenye century hii ya leo? Watanzania tuache huu unyonge, mental slavery ni mbaya sana kuliko ule ukoloni halisi wa mijeledi
 
Wana support bajeti yenu kiasi gan? Unaishi kwa kulishwa na una jeuri huna hata unga wa kukutosha mwezi bila mzungu kuweka jasho lake unahoji? Jitegemee then peleka jeuri baadaye!

Magu aliwaosha mind zenu mkajua hamna kitu mnamtegemea mzungu wkt bajeti yake zaidi ya nusu anaomba na anazuga mmelipa kodi!

Anyway hii ni taratibu ya kidoplomasia Tanzania ni nchi ndani ya Commonwealth Kama unajua maana yake haiwezi kujitenga kwa kuwe wewe unataka huko ikungulyabashashi.
Ni suala jema kwa ustawi wa dipmalomasia ya Tanzania na nchi za Commonwealth na dunia.
 
Sasa hii ni shobo!

Sisi Rais wetu Magufuli alipofariki Waingereza walitangaza siku ngapi za maombolezo?.

Sisi tumeshafiwa na viongozi wetu wakubwa tu akiwemo Mzee Kawawa , hatujawahi kutangaza siku tano za maombolezo , Huyu Malkia kwetu ni nani haswa hadi tumpe siku zote hizo?

Huu ni utumwa wa Fikra!

Halafu hii serikali mbona inatoa taarifa kwa Umma usiku wa manane, imekuwa serikali ya kichawi?
Huyu ni mwasisi wa nchi ya Tanganyika hivyo heshima zote anastahili kupewa.
 
Rais Samia atangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II kilichotokea tarehe 8 Septemba, 2022.

Maombolezo hayo yataanza tarehe 10 Septemba hadi tarehe 14 Septemba.

Katika kipindi hicho bendera za Tanzania zitapepea nusu mlingoti, ikiwa ni pamoja na kwenye balozi zetu.

Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama wa Jumuiya ya Madola kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Baadhi ya nchi zilizoshusha bendera yao nusu mlingoti ni pamoja na Nigeria, Kenya na Ghana.

Tanzania ni kati ya nchi 19 za Afrika zilizopo ndani ya Jumuiya ya Madola ambazo ziliwahi kuwa sehemu ya Ufalme wa Uingereza na zilipata uhuru ndani ya Jumuiya hiyo.

Kwa hiyo, Malkia Elizabeth II alikuwa moja kwa moja mkuu wa nchi, aliyewakilishwa ndani ya nchi na Gavana Mkuu.

Nchi hizo ni


Tanganyika (Tanzania) , 9 Desemba 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya Tanganyika tarehe 9 Desemba 1962, Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili 1964, na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 29 Oktoba 1964.


Botswana , 30 Septemba 1966 kama Jamhuri

Cameroon , 11 Novemba 1995 kama Jamhuri

Gambia , 18 Februari 1965 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 24 Aprili 1970

Ghana , 6 Machi 1957 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 1 Julai 1960

Kenya , 12 Desemba 1963 kama Nchi - ikawa Jamhuri tarehe 12 Desemba 1964

Lesotho , 4 Oktoba 1966 kama Ufalme

Malawi , 6 Julai 1964 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 6 Julai 1966

Mauritius , 12 Machi 1968 kama eneo - ikawa Jamhuri ya 12 Machi 1992

Msumbiji , 12 Desemba 1995 kama Jamhuri

Namibia , 21 Machi 1990 kama jamhuri

Nigeria , 1 Oktoba 1960 kama Ufalme - ikawa Jamhuri mnamo 1 Oktoba 1963 - kusimamishwa kati ya 11 Novemba 1995 na Mei 29, 1999

Rwanda , Novemba 28, 2009 kama Jamhuri

Seychelles , 29 Juni 1976 kama Jamhuri

Sierra Leone , 27 Aprili 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri 19 Aprili 1971

Afrika Kusini , 3 Desemba 1931 kama Ufalme - aliondoka kuwa Jamhuri tarehe 31 Mei 1961, alijiunga na 1 Juni 1994

Swaziland , 6 Septemba 1968 kama Ufalme

Uganda , 9 Oktoba 1962 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 9 Oktoba 1963

Zambia , 24 Oktoba 1964 kama Jamhuri

Zimbabwe , 18 Aprili 1980 kama Jamhuri - kusimamishwa tarehe 19 Machi 2002, iliondoka tarehe 8 Desemba 2003

Taarifa kamili,

View attachment 2351886
Hongera Mheshimiwa rais kwa uzalendo uliotukuka
 
Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inaziunganisha nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza na nchi zilizokuwa makoloni yake.

Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Tanzania inapokea misaada mingi ya kifedha kutoka kwa nchi hii.

Kwa hiyo ni vyema kuwadhihirishia kuwa tupo pamoja nao katika kipindi wanapoomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa taifa lao. Natambua si Tanzania tu ambayo itashusha bendera zake nusu mlingoti, bali mataifa yaliyo mengi ikiwemo nchi zote zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Hata India wameshusha sasa sisi tunashangaa nini?
 
Vijana wa siku hizi bwana. Unalalamika sababu ya kutokujua kwako mambo ya kijiopolitiki. Unasahau huyu amewahi kuwa mkuu wa nchi hii enzi hizo ikiitwa Tanganyika, na pia amekuwa kiongozi wa jumuiya ya madola ambayo Tanzania ni mwanachama. Jifunzeni kutohemuka mnapokutana na jambo. Jipeni muda wa kutafakari kabla ya kubwabwaja. Isitoshe kutangazwa kwa siku hizo za maombolezo kumeathiri vipi maisha yako?
Hao ni vijana wa Magufuri ambao wanajifanya wana elimu kubwa,hata historia ya nchi hawaijui.
 
Rais Samia atangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II kilichotokea tarehe 8 Septemba, 2022.

Maombolezo hayo yataanza tarehe 10 Septemba hadi tarehe 14 Septemba.

Katika kipindi hicho bendera za Tanzania zitapepea nusu mlingoti, ikiwa ni pamoja na kwenye balozi zetu.

Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama wa Jumuiya ya Madola kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Baadhi ya nchi zilizoshusha bendera yao nusu mlingoti ni pamoja na Nigeria, Kenya na Ghana.

Tanzania ni kati ya nchi 19 za Afrika zilizopo ndani ya Jumuiya ya Madola ambazo ziliwahi kuwa sehemu ya Ufalme wa Uingereza na zilipata uhuru ndani ya Jumuiya hiyo.

Kwa hiyo, Malkia Elizabeth II alikuwa moja kwa moja mkuu wa nchi, aliyewakilishwa ndani ya nchi na Gavana Mkuu.

Nchi hizo ni


Tanganyika (Tanzania) , 9 Desemba 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya Tanganyika tarehe 9 Desemba 1962, Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili 1964, na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 29 Oktoba 1964.


Botswana , 30 Septemba 1966 kama Jamhuri

Cameroon , 11 Novemba 1995 kama Jamhuri

Gambia , 18 Februari 1965 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 24 Aprili 1970

Ghana , 6 Machi 1957 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 1 Julai 1960

Kenya , 12 Desemba 1963 kama Nchi - ikawa Jamhuri tarehe 12 Desemba 1964

Lesotho , 4 Oktoba 1966 kama Ufalme

Malawi , 6 Julai 1964 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 6 Julai 1966

Mauritius , 12 Machi 1968 kama eneo - ikawa Jamhuri ya 12 Machi 1992

Msumbiji , 12 Desemba 1995 kama Jamhuri

Namibia , 21 Machi 1990 kama jamhuri

Nigeria , 1 Oktoba 1960 kama Ufalme - ikawa Jamhuri mnamo 1 Oktoba 1963 - kusimamishwa kati ya 11 Novemba 1995 na Mei 29, 1999

Rwanda , Novemba 28, 2009 kama Jamhuri

Seychelles , 29 Juni 1976 kama Jamhuri

Sierra Leone , 27 Aprili 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri 19 Aprili 1971

Afrika Kusini , 3 Desemba 1931 kama Ufalme - aliondoka kuwa Jamhuri tarehe 31 Mei 1961, alijiunga na 1 Juni 1994

Swaziland , 6 Septemba 1968 kama Ufalme

Uganda , 9 Oktoba 1962 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 9 Oktoba 1963

Zambia , 24 Oktoba 1964 kama Jamhuri

Zimbabwe , 18 Aprili 1980 kama Jamhuri - kusimamishwa tarehe 19 Machi 2002, iliondoka tarehe 8 Desemba 2003

Taarifa kamili,

View attachment 2351886
vizuri sana Rais Samia anaendeleza kuimalisha diplomasia
 
Rais Samia atangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II kilichotokea tarehe 8 Septemba, 2022.

Maombolezo hayo yataanza tarehe 10 Septemba hadi tarehe 14 Septemba.

Katika kipindi hicho bendera za Tanzania zitapepea nusu mlingoti, ikiwa ni pamoja na kwenye balozi zetu.

Ni jambo la hekima kidiplomasia kuonyesha kama nchi mwanachama wa Jumuiya ya Madola kuwa umeguswa na msiba huo wa kiongozi huyo mkuu wa Uingereza. Baadhi ya nchi zilizoshusha bendera yao nusu mlingoti ni pamoja na Nigeria, Kenya na Ghana.

Tanzania ni kati ya nchi 19 za Afrika zilizopo ndani ya Jumuiya ya Madola ambazo ziliwahi kuwa sehemu ya Ufalme wa Uingereza na zilipata uhuru ndani ya Jumuiya hiyo.

Kwa hiyo, Malkia Elizabeth II alikuwa moja kwa moja mkuu wa nchi, aliyewakilishwa ndani ya nchi na Gavana Mkuu.

Nchi hizo ni


Tanganyika (Tanzania) , 9 Desemba 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya Tanganyika tarehe 9 Desemba 1962, Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili 1964, na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 29 Oktoba 1964.


Botswana , 30 Septemba 1966 kama Jamhuri

Cameroon , 11 Novemba 1995 kama Jamhuri

Gambia , 18 Februari 1965 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 24 Aprili 1970

Ghana , 6 Machi 1957 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 1 Julai 1960

Kenya , 12 Desemba 1963 kama Nchi - ikawa Jamhuri tarehe 12 Desemba 1964

Lesotho , 4 Oktoba 1966 kama Ufalme

Malawi , 6 Julai 1964 kama Ufalme - ikawa Jamhuri ya 6 Julai 1966

Mauritius , 12 Machi 1968 kama eneo - ikawa Jamhuri ya 12 Machi 1992

Msumbiji , 12 Desemba 1995 kama Jamhuri

Namibia , 21 Machi 1990 kama jamhuri

Nigeria , 1 Oktoba 1960 kama Ufalme - ikawa Jamhuri mnamo 1 Oktoba 1963 - kusimamishwa kati ya 11 Novemba 1995 na Mei 29, 1999

Rwanda , Novemba 28, 2009 kama Jamhuri

Seychelles , 29 Juni 1976 kama Jamhuri

Sierra Leone , 27 Aprili 1961 kama Ufalme - ikawa Jamhuri 19 Aprili 1971

Afrika Kusini , 3 Desemba 1931 kama Ufalme - aliondoka kuwa Jamhuri tarehe 31 Mei 1961, alijiunga na 1 Juni 1994

Swaziland , 6 Septemba 1968 kama Ufalme

Uganda , 9 Oktoba 1962 kama Ufalme - ikawa Jamhuri tarehe 9 Oktoba 1963

Zambia , 24 Oktoba 1964 kama Jamhuri

Zimbabwe , 18 Aprili 1980 kama Jamhuri - kusimamishwa tarehe 19 Machi 2002, iliondoka tarehe 8 Desemba 2003

Taarifa kamili,

View attachment 2351886
Mazishi yanategemewa kuwa 19/9/22.
 
Siku 5 ni muafaka tukizingatia ukweli wa Kihistoria alikuwa ndiye mkuu wa nchi ya Tanganyika huru wa kwanza tena mwanamke. Tanganyika huru kama na utaratibu huu ungaliendelea kwa sasa tungekuwa na Malkia 11 kututawala.
 
Back
Top Bottom