Kweli.Tanzania inahitaji katiba mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ili wananchi wenyewe wachague viongozi watakao wajibika moja kwa moja kwao.
Kwa utaratibu huu wa sasa hakuna kabisa vigezo vinavyoeleweka vinavyotumika ktk kufanya uteuzi wa hawa wanaitwa wakuu wa mikoa na wilaya na labda ndio maana unakuta ni watu wasio na weledi wowote kiuongozi.
Chalamila asubuhi hii kakodi bajaji kwenda kazini Dereva kaenda mchukua boss mwingine[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Eti mabango ya KUMTUSI mama RUKHSA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari alikuwa kwenye spotlightHuyu ndio sifuri plus.........
Sio hii[emoji848][emoji848][emoji848]Chalamila kilichomponza NI ile ya kusema wezi wawajibishwe
Bado Alli Hapi akimtoa na huyo tutakuwa hatuna deni nayeWakati watu wanapiga kelele kutaka baadhi ya watu waondolewe kwenye nafasi zao, kuna watu hudhani wanawaonea wivu, ila kwa tukio hili la Chalamila, hata Mama mwenyewe atakuwa amejiunza kwa vitendo...
Magufuli hakuwa na uwezo wakati ule kuchagua Makamu wake wa Rais, Yeye alitaka Mwinyi awe Makamu wake, Wazee wakakataaSamia ni Magufuli.
Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc
Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Alikuwa anajibu mapigo.. Hakujua kashika kwenye makali na wembe haulambwi100% hii ndio imemponza
Chalamila ash hii kakodi bajaji kwenda kazini Dereva kaenda mchukua boss mwingine[emoji3]Mama kaondoka na kichwa, asubuhi ataamka atashangaa mbona Viete haliji wakati mda wa ofisi tayari?!
More likely hii ndiyo sababu. Una hoja. Siyo wengine wanaongea utopolo, mara bajeti mara udini. Jinga kabisa!Yes hiyo kauli ya kuua vibaka alishawahi kuitoa Mbeya akasema kwamba baada ya kumuua alikunywa beers mbili kujipongeza, akairudia tena Mwanza na jana kasema hiyo ya wananchi ni ruhusa wabebe mabango yenye matusi wakati wa kumpokea Samia
Alikula chakula cha usiku akiwa mkuu wa mkoaKwahiyo jamaa chakula cha usiku alikula akiwa mkuu wa mkoa, anaamka kama raia wa kawaida
Chalamila alihusika kumteka saa8?Tuta erewana tu
Ben Saanane Mungu yu Pamoja Nawe....
Iwe giza iwe usiku
Alikuwa ni mfano hai wa ule msemo wa kiswahili, 'maskini akipata, matako hulia mbwata'. Ghafla mzee baba alijikuta yeye ndio katimua wakoloni TZ.Magufuli hakuwa na uwezo wakati ule kuchagua Makamu wake wa Rais, Yeye alitaka Mwinyi awe Makamu wake, Wazee wakakataa
Huyo Mwendazake baada ya kupata urais ndio akajiona Yeye ndie aliyepigania uhuru wa nchi hii
Yeye akajiona ndie alianzisha Takukuru, TRA na Tanroads wakati amezikuta
Huyo Jamaa yako alipenda kupiga kelele na makamera sana
Aliona Urais ni kila kitu na amemaliza maisha, na wenzake wakamuambia utaishi milele, wakihubiri mitano tena na tena
😂😂mzee wa gambeMama alisema ataki mabango,akiyakuta,ata wafyeka viongozi.chala anaamka na hangover anawambia waje na mabango hajaishia apo,anakuambia ata kama ya matusi
Bora Mimi hata Mimi kuendelea kulima pilipili zangu huku Lupembe Njombe ila sio kwa aibu hiiChalamila ash hii kakodi bajaji kwenda kazini Dereva kaenda mchukua boss mwingine[emoji3]
Huyu jamaa chizi, hivi mwendazake hawa watu alikuwa anawatoa wapi!!? Na si ajabu angekuwepo bado angemvumilia kukaa naye meza moja.Mama alisema ataki mabango,akiyakuta,ata wafyeka viongozi.chala anaamka na hangover anawambia waje na mabango hajaishia apo,anakuambia ata kama ya matusi