mtumishi 2021
Member
- Mar 12, 2021
- 24
- 26
Nimemfatilia huyu bwana mdogo anafanyakazi smart sana, nafikiri he is mature nowAlli Hapi ana dawa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemfatilia huyu bwana mdogo anafanyakazi smart sana, nafikiri he is mature nowAlli Hapi ana dawa gani?
Hakuna kitu hapo mkuuNimemfatilia huyu bwana mdogo anafanyakazi smart sana, nafikiri he is mature now
Kama akina Dotto na kundi lake sio au ?Chalamila kilichomponza NI ile ya kusema wezi wawajibishwe
Si ajabu na huko anakokwenda nako akahamishwa akiwa bado akijitambulisha.Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na Jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, Jumatano na Alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, Ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Aliowaombea watimiziwe ombi la tatu nao wamemwombea aliwe kichwa.Kwa hali tuliyonayo kuna vitu viwili vya kuogopa
Mungu
Technology
Huyo RC inaonekana vyote hivyo hakuwa na hofu navyo
Bahati mbaya vitimbwi vyake vitaendelea kubaki mitandaoni hadi atakapokuwa Mzee na hatimaye wajukuu kuja kumshangaa Babu yao 😅
Jamaa Kachongewa Na Pm Jana Kwenye Kikao Huko MwanzaKwa hali tuliyonayo kuna vitu viwili vya kuogopa
Mungu
Technology
Huyo RC inaonekana vyote hivyo hakuwa na hofu navyo
Bahati mbaya vitimbwi vyake vitaendelea kubaki mitandaoni hadi atakapokuwa Mzee na hatimaye wajukuu kuja kumshangaa Babu yao [emoji28]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Hatua hiyo imetokana na Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ally Salum Hapi anahamia Mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo, Rais Samia amemteua Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Batilda Salha Buriani kuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ally Salum Hapi.
Aidha Katibu Twala Wilaya ya Simanjoro Zuwena Omari Jiri ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga kuchukua nafasi ya Batilda Salha Buriani.
Taarifa hiyo imesema tarehe ya uapisho wa viongozi wapya itatangazwa baadae
View attachment 1814796
DahUnaamka zako asubuhi hujapiga hata mswaki unaambiwa jiji si lako tena rudi Iringa ukapulizwe na baridi kidogo
Pushgang myopic argument.Spinning at its best,Y**Ck politics.
Huyu mama afanye kazi zingine,its too much aisee tumeliwa.Itakuwa imemcost big time
Kweli Mama awafikirie wasomi walioko vijiweni awape teuzi. Hahahhhaa ila hapo neno ghalama sio hivyo bwashee... Ni GharamaMama pole na majukumu. Nakushauri unapofanya mabadiliko tafuta mtu sahihi kabisa achukue nafasi ya aliyechemsha. Tupunguze ghalama ya uhamisho usio lazima wa watu ili tuepuke ghalama zisizo za lazima. Batlida angeenda Mwanza na DAS Simanjiro angekuwa RAS halafu ungenichukua mtu kama mimi msomi niliyeko kijiweni ukanipa u-DAS Simanjiro.
Wasukuma wamemfanyia yao anaropoka tu kaa mweuMdomo huponza kichwa
Terrible,Terrible,Terrible..Yule jamaa Its either anavuta bangi, unga au pombe kupita kiasi au anajaribu kufanya utani lakini hauwezi utani, anapitiliza mnoo siyo mara ya kwanza kutoa kauli za ajabu.
Kule Mbeya kipindi cha uchaguzi alisema ana hamu na damu za wapinzani kama litre 8 hivi ana mpango wa kuzimwaga, he is terrible.