Kifutu anayejifanya jongoo kwa Sasa.Bado Ally Hapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifutu anayejifanya jongoo kwa Sasa.Bado Ally Hapi
In fact alitaka kuchekesha wanahabari, kumbe loh! Poor comedian.Chalamila kaponzwa na kauli yake ile,nilivyoiona nilistuka
Yeye alijua siku hiyo hiyo aliyoropoka, umma umepokea taarifa leoMama kaondoka na kichwa, asubuhi ataamka atashangaa mbona Viete haliji wakati mda wa ofisi tayari?!
Kumbe waliwekwa kwenye rada tayari! Hapo alikuwa anasubiriwa atakayeanza kujichanganya tu. Mama anamahesabu ya mbali sana, yaani anakutimua mwenyewe unaona kabisa hapa nimezingua. Tena unatumbuliwa usiku wa manane bado upo ndotoni. Saluti sana mamaAlikuwa anajibu mapigo.. Hakujua kashika kwenye makali na wembe haulambwiView attachment 1814936
😂 😂 😂 😂In fact alitaka kuchekesha wanahabari, kumbe loh! Poor comedian.
Kawaachia mateso makubwa CHAWA wake wavaa bendera, sasa wameanza kuvaa barakoa, hakuna tena kupiga nyungu, Wanajipendekeza kulia kushoto kama mbwa koko.Alikuwa ni mfano hai wa ule msemo wa kiswahili, 'maskini akipata, matako hulia mbwata'. Ghafla mzee baba alijikuta yeye ndio katimua wakoloni TZ.
Aisee sijuwi kama ana juwa kuna matusi mengine makubwa kuliko bomu!Kuna makabidhiano ya ofisi ivyo atapata wasaa.. Ila kumbe huyu jamaa juha kiasi hikiView attachment 1814888
Wewe na nani?Bado Alli Hapi akimtoa na huyo tutakuwa hatuna deni naye
Mmh,ndio kashaliwa kichwa hivyo,au wewe unasemaje
Bado Ally Hapi naona anasogezwasogezwa kuelekea magharibi mara tutasikia yuko Goma DRC muda ni mwalimu mzuri fyekelea mbali hao kunguniDuh Chalamila kaliwa kichwa, pombe itanywekwa kweli? Haha
Na dingi yakoWewe na nani?