daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Wewe ndio umekuwa wa kwanzaWenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umekuwa wa kwanzaWenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Atakuja Chizi Maarifa akwambie kua wewe ndio unadivert mjadala,nilicomment hivi hivi kwenye ile thd ya aliyekua rais wa Iran Mahmood Ahmedinejad,akaja kunitolea povu.Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Huna nongwa ila comment yako imejaa dhihaka kwenye dini ya wengine!! au bado upo usingizini?Mbona kama vile mwenye akili mbovu ni wewe? Unajishuku mapema.
Sisi Wagalatia wala hatuna nongwa sana sana na teuzi. Hatulii sana kama wenzetu wavaa makobazi, kila kitu mnalinganisha kwa mlengo wa kiimani.
Wenye sifa watapita. Imani yao haikupunguzii adhabu pale unapokutwa na hatia.
Kwa hiyo hatuangalii vigezo, tunazingatia kuweka mzani sawa.Mama anajaribu ku balance muzani.
Akili mbovu Ni Wewe mdini mwenye Mawazo mfuuuuWenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Kabisa.hii ya kusema eti mahakama ni mhimili huru ni uongo kabisa.ukishateuliwa na mtu,unakuwa mtiifu kwa aliyekuteua na ndiyo maana kwa Tanzania rais akikosea atatetewa na mahakama kwa kupindisha sheria ili aonekane hajakosea.Katiba mpya ni mhimu ili kumpunguzia rais mamlaka ya kuteua kila kitu yeye.Politicians wanateua High courts judges!,tusipige kelele tunapoambiwa tunaishi in a pithole country, hizo nafasi sita za u judges ilibidi waziombe na interview wafanyiwe kama wengine wanavyofanyiwa interview, judiciary TANZANIA sio independent, ni vibaraka wa Politicians, na CJ yupo kimya maana analinda njaa yake ya tumbo, nikiwa president wa 24hrs,kufikia 14:00hrs judges wote itabidi watume maombi ya kuwa judges, Bunge litapiga kura na watawajibika kwa Bunge (watunga sheria),na judges (wanaotafsiri sheria)CJ atafanyiwa very intensity interview, hawezi kuwa motored kuwa CJ, hii tumwachie Mayele maana alimpita beki wa Marumo kwa kasi ya ajabu
Why are you so defensive!?Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Watakuwa wapumbavu kama ambavyo wewe umewaanzishia njia. Teuzi na majina havipaswi kuwa na uhusiano. Ni akili za kipumbavu na kuanza divert mjadala.Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
🤣🤣🤣 Mimi hupenda kuongea ukweli. Nachukia watu wanaoleta habari za Kikabila, Dini, Race kwenye mambo ambayo hayahusiani na hivyo vitu. Malaya, wauaji, mafisadi, Wakatili, Wenye Chuki, Husda n.k wapo Waislamu, Wakristo, Wapagan, Wahindu, Wabudha, Wabohora, Waafrika, Waarabu, Wazungu, Waasia. Ni mwendawazimu tu ambaye ataangalia kwa misingi hiyo. And the vice versa is true. Bahati nzuri mimi hakuna wa kunidanganya kuhusu Uislamu au Ukristo.Atakuja Chizi Maarifa akwambie kua wewe ndio unadivert mjadala,nilicomment hivi hivi kwenye ile thd ya aliyekua rais wa Iran Mahmood Ahmedinejad,akaja kunitolea povu.
Kabisa. Kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake.Mbona kama vile mwenye akili mbovu ni wewe? Unajishuku mapema.
Sisi Wagalatia wala hatuna nongwa sana sana na teuzi. Hatulii sana kama wenzetu wavaa Makobazi, kila kitu mnalinganisha kwa mlengo wa kiimani.
Wenye sifa watapita. Imani yao haikupunguzii adhabu pale unapokutwa na hatia.
Wavaa kobazi ni neno la kudhihaki?Huna nongwa ila comment yako imejaa dhihaka kwenye dini ya wengine!! au bado upo usingizini?
Wale wa 1776 walikuwa na akili zisizo za kawaida. Mantiki wa walichoandika kiko valid hadi kesho. Huwezi linganisha na hayo mashairi aliyoandika Msekwa.Kwa ulinganishi wa 1776??
Imekaa MStatiriNailaumu katiba
Eti nyie Wagalatia!! Kwa hiyo hamna akili hata moja siyo?Mbona kama vile mwenye akili mbovu ni wewe? Unajishuku mapema.
Sisi Wagalatia wala hatuna nongwa sana sana na teuzi. Hatulii sana kama wenzetu wavaa Makobazi, kila kitu mnalinganisha kwa mlengo wa kiimani.
Wenye sifa watapita. Imani yao haikupunguzii adhabu pale unapokutwa na hatia.
Wapi huko Jaji huteuliwa na wasiokuwa wanasiasa?Politicians wanateua High courts judges!,tusipige kelele tunapoambiwa tunaishi in a pithole country, hizo nafasi sita za u judges ilibidi waziombe na interview wafanyiwe kama wengine wanavyofanyiwa interview, judiciary TANZANIA sio independent, ni vibaraka wa Politicians, na CJ yupo kimya maana analinda njaa yake ya tumbo, nikiwa president wa 24hrs,kufikia 14:00hrs judges wote itabidi watume maombi ya kuwa judges, Bunge litapiga kura na watawajibika kwa Bunge (watunga sheria),na judges (wanaotafsiri sheria)CJ atafanyiwa very intensity interview, hawezi kuwa motored kuwa CJ, hii tumwachie Mayele maana alimpita beki wa Marumo kwa kasi ya ajabu
Yaani wewe huwezi kutafuta jibu la swali hili mpaka utafuniwe na kumezeshwaWapi huko Jaji huteuliwa na wasiokuwa wanasiasa?
Wewe ndiyo unaileta hiyo hoja ya udini kwa mlango wa nyuma. Na kwa maana hiyo wewe akili yako imeoza kabisa.Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu