Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyemteuwa kuwa m/mwenyekitij alkuwa mjumbe wa tume hiyo hiyo ambaye walifanya uchafuzi na jaji mahela. Tusitegemee mabadiliko yoyote yale. Inasikitisha sana yahani baada ya malalamiko yote hayo ameshindwa kuteuwa mtu kutoka nje ya tume inayolalamikiwa
utagua ni mgeni nchi hii.HESLB inakwenda kunyooshwa. Safi sana.
Angalia vizuri page ya piliMbona musiba na Pascal hawateuliwi!!
Yule mzee ni wa viwango! Labda wamzunguke.utagua ni mgeni nchi hii.
chief karibu tena Tanzania aisee.Yule mzee ni wa viwango! Labda wamzunguke.
Hapana, Huyu ni mpya. Ameteuliwa kuingia kwenye tume mwaka huu na rais Samia baada ya kifo cha JPM. Kwenye tume ana miezi kama mitatu au minne.Aliyemteuwa kuwa m/mwenyekitij alkuwa mjumbe wa tume hiyo hiyo ambaye walifanya uchafuzi na jaji mahela. Tusitegemee mabadiliko yoyote yale. Inasikitisha sana yahani baada ya malalamiko yote hayo ameshindwa kuteuwa mtu kutoka nje ya tume inayolalamikiwa
Kazi Iendelee
Prof Dihenga Ni mtu makini na mwenye Standard. Tutengeneze makubwa pale BodiHESLB inakwenda kunyooshwa. Safi sana.
Kwa Pascal sawa anaweza kuteuliwa akili anazo lakini kwa Cyprian Musiba hakuna kazi anaweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu.Mbona musiba na Pascal hawateuliwi!!
Ok kama ni hivyo anaweza kuwa na uwafadhali kidogo. Ilk tuwe na imani naye inabidi aifumue tume yote na kuipanga upaya kwa matakwa ya vyama vyoteHapana, Huyu ni mpya. Ameteuliwa kuingia kwenye tume mwaka huu na rais Samia baada ya kifo cha JPM. Kwenye tume ana miezi kama mitatu au minne.