Rais Samia ateua Wakurugenzi wapya TCAA na TAA

Rais Samia ateua Wakurugenzi wapya TCAA na TAA

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Salim Ramadhani Msangi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Kabla ya Uteuzi Msangi alikuwa akikaimu nafasi hiyo

Pia, Rais amemteua Abdul Athumani Mombokaleo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Kabla ya Uteuzi, Mombokaleo alikuwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia TTCL.

Mombokaleo anachukua nafasi ya Mussa Mbura ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Screenshot_2024-09-08-15-11-58-426_com.instagram.android-edit.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Salim Ramadhani Msangi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Kabla ya Uteuzi Msangi alikuwa akikaimu nafasi hiyo

Pia, Rais amemteua Abdul Athumani Mombokaleo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Kabla ya Uteuzi, Mombokaleo alikuwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia TTCL.

Mombokaleo anachukua nafasi ya Mussa Mbura ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Naomba mama samia aniteue na mimi kuwa mwalimu wa shule ya msingi isimikinyi
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Salim Ramadhani Msangi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Kabla ya Uteuzi Msangi alikuwa akikaimu nafasi hiyo

Pia, Rais amemteua Abdul Athumani Mombokaleo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Kabla ya Uteuzi, Mombokaleo alikuwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia TTCL.

Mombokaleo anachukua nafasi ya Mussa Mbura ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Abdul ni kitengo namjua sana akiwa NIDC .....ila ureuzi khaaaas ......hamaa ni kawaida sanaaa....labda sababu amewaganyia kazinzao chafu chafu alikuwa list.......acha nikalale.......mbona Seki hawampi uteuzi ? Kazi chafu ......walikuwa wote na Abdul.....miaikaaaa
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Salim Ramadhani Msangi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Kabla ya Uteuzi Msangi alikuwa akikaimu nafasi hiyo

Pia, Rais amemteua Abdul Athumani Mombokaleo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Kabla ya Uteuzi, Mombokaleo alikuwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia TTCL.

Mombokaleo anachukua nafasi ya Mussa Mbura ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Akiona hii haijabamba na kufanikiwa kufunika kelele, atakuja na mkeka mwingine wa kuhamisha wamasaai waliopelekwa Msomera na kuwarudisha Ngorongoro, pia atawateua na Wachaga wa Macheme na kuwahamishia Sengerema, huku akieateua wapogolo na kuwajamishia Mafia huku wa Mafia akiwahamishia Rombo na wale wa Rombo akiwapeleka Tandahimba na Wamakonde wa Tandahimba akiwahamishia Hai.
 
Bado Msigwa hajakumbukwa? Anaongea sana
Apewe nafasi atulie
 
Sasa je kama watu hao wangeuawa angemteua nani?
Mauaji yakomeshwe waziri aondoke
 
Back
Top Bottom