Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaAngalia asijeakakiuza hicho kituo kwa DPW
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaAngalia asijeakakiuza hicho kituo kwa DPW
Mnasikitisha haters, mmeishiwa kabisaaa!!Muda si mrefu atawauzia waarabu!
Unaokoteza vifungu vichache vya biblia bila ya kuelewa mantiki na mazingira yake.Mama'ke Yesu ndiye alitusilimisha, sijamuona bila hijabu.
1 Wakorintho 11:6 BHN
Mwanamke asiyefunika kichwa chake, afadhali anyoe nywele zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa; basi, afadhali afunike kichwa chake.
BHN: Biblia Habari Njema
Vipi imekuuma?So what?
Lakini pia ufahamu kuwa barua hiyo ya Paulo uliilenga jamii husika, na uhalisia wao.Unaibadili biblia kwa matamanio yako? Dah, pole sana, "kila mwanamke":
5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.