Kumbe nchi ina uhaba wa sarafu za Shilingi na hatuambiwi?
Siku ya Leo akiwa msibani kwa Lawrence Mafuru Rais Samia alikumbushia amekumbushia kipindi ambacho kulikuwa na uhaba wa Shilingi na Mafuru alivyohusika katika kusaidia taifa kupita katika kipindi hiko.
"Badala ya kulalamika Nchi haina dola nimesikia juzi Wazalishaji wanalalmika Nchi haina shilingi, sasa mpango wa kurudisha shilingi
Ndugu yetu ameondoka nitawatumia waliokuwepo, la pili tulikumbwa na changamoto ya miradi katika sekta ya ujenzi na nikaita mkutano pale Zanzibar katika kikao kile tulijadili mengi mwisho nikawaambia katika hali kama hii tuliyofika kati yenu mmoja angekuwa Rais mngeamuaje na nikasema leo najivua Urais sasa hivi nampa Mafuru
Mafuru nyanyuka wewe sasa ndio Rais kwenye hali kama hii ungefanyaje?"
Rais Samia aliendelea kwa kusema:
"Alisimama kwa unyeyekevu mkubwa akaniambia Mheshimiwa Mimi si Rais na Urais uko mbali nami lakini katika hali kama hii akatoa mchango wake ambazo hakika ulitutoa pal tulipo tukaweza kusonga mbele"
Kumbe nchi ina uhaba wa sarafu za Shilingi na hatuambiwi?
Siku ya Leo akiwa msibani kwa Lawrence Mafuru Rais Samia alikumbushia amekumbushia kipindi ambacho kulikuwa na uhaba wa Shilingi na Mafuru alivyohusika katika kusaidia taifa kupita katika kipindi hiko.
"Badala ya kulalamika Nchi haina dola nimesikia juzi Wazalishaji wanalalmika Nchi haina shilingi, sasa mpango wa kurudisha shilingi
Ndugu yetu ameondoka nitawatumia waliokuwepo, la pili tulikumbwa na changamoto ya miradi katika sekta ya ujenzi na nikaita mkutano pale Zanzibar katika kikao kile tulijadili mengi mwisho nikawaambia katika hali kama hii tuliyofika kati yenu mmoja angekuwa Rais mngeamuaje na nikasema leo najivua Urais sasa hivi nampa Mafuru
Mafuru nyanyuka wewe sasa ndio Rais kwenye hali kama hii ungefanyaje?"
Rais Samia aliendelea kwa kusema:
"Alisimama kwa unyeyekevu mkubwa akaniambia Mheshimiwa Mimi si Rais na Urais uko mbali nami lakini katika hali kama hii akatoa mchango wake ambazo hakika ulitutoa pal tulipo tukaweza kusonga mbele"
Sarafu zimepotelea kwenye madubwi, dubwi moja linazamisha zaidi ya laki 1, piga mahesabu kuna madubwi mangapi Tanzania.
Kwenye madubwi madogo tunayo yaona mtaani lile trei ambalo mchezesha dubwi huweka na kutoa sarafu zinakuwepo sarafu za thamani ya 60,000 tzs. (Kiwango cha juu)
Sarafu zinazo ingia kwenye mtego wa ndani anakuja kuzichukua mwenyewe mchina ama mfanyakazi wake, sarafu inayotumika kwenye madubwi hayo ni sarafu ya shilingi mia mbili
Jibu rahisi wachina ndiyo wanazificha sarafu, vile vile serikali wanapata pesa nyingi kutokana na kamali hawawezi kuikomesha kwasasa, hata kama itaathiri tabia za watoto wetu, (kizazi cha madubwi)
Governments collect revenue (easy money), from gambling business
Ni kweli kabisa, wapo wengi mno ila hawapati nafasi, wanao pata nafasi ni wale wale wanao pokezana na ndio maana hatupigi hatua kama taifa maana mawazo ni yale yale fikra na mitazamo ni ile ile kutoka kwa wetu wale wale
Ni kweli kabisa, wapo wengi mno ila hawapati nafasi, wanao pata nafasi ni wale wale wanao pokezana na ndio maana hatupigi hatua kama taifa maana mawazo ni yale yale fikra na mitazamo ni ile ile kutoka kwa wetu wale wale
Kumbe nchi ina uhaba wa sarafu za Shilingi na hatuambiwi?
Siku ya Leo akiwa msibani kwa Lawrence Mafuru Rais Samia alikumbushia amekumbushia kipindi ambacho kulikuwa na uhaba wa Shilingi na Mafuru alivyohusika katika kusaidia taifa kupita katika kipindi hiko.
"Badala ya kulalamika Nchi haina dola nimesikia juzi Wazalishaji wanalalmika Nchi haina shilingi, sasa mpango wa kurudisha shilingi
Ndugu yetu ameondoka nitawatumia waliokuwepo, la pili tulikumbwa na changamoto ya miradi katika sekta ya ujenzi na nikaita mkutano pale Zanzibar katika kikao kile tulijadili mengi mwisho nikawaambia katika hali kama hii tuliyofika kati yenu mmoja angekuwa Rais mngeamuaje na nikasema leo najivua Urais sasa hivi nampa Mafuru
Mafuru nyanyuka wewe sasa ndio Rais kwenye hali kama hii ungefanyaje?"
Rais Samia aliendelea kwa kusema:
"Alisimama kwa unyeyekevu mkubwa akaniambia Mheshimiwa Mimi si Rais na Urais uko mbali nami lakini katika hali kama hii akatoa mchango wake ambazo hakika ulitutoa pal tulipo tukaweza kusonga mbele"
Kumbe nchi ina uhaba wa sarafu za Shilingi na hatuambiwi?
Siku ya Leo akiwa msibani kwa Lawrence Mafuru Rais Samia alikumbushia amekumbushia kipindi ambacho kulikuwa na uhaba wa Shilingi na Mafuru alivyohusika katika kusaidia taifa kupita katika kipindi hiko.
"Badala ya kulalamika Nchi haina dola nimesikia juzi Wazalishaji wanalalmika Nchi haina shilingi, sasa mpango wa kurudisha shilingi
Ndugu yetu ameondoka nitawatumia waliokuwepo, la pili tulikumbwa na changamoto ya miradi katika sekta ya ujenzi na nikaita mkutano pale Zanzibar katika kikao kile tulijadili mengi mwisho nikawaambia katika hali kama hii tuliyofika kati yenu mmoja angekuwa Rais mngeamuaje na nikasema leo najivua Urais sasa hivi nampa Mafuru
Mafuru nyanyuka wewe sasa ndio Rais kwenye hali kama hii ungefanyaje?"
Rais Samia aliendelea kwa kusema:
"Alisimama kwa unyeyekevu mkubwa akaniambia Mheshimiwa Mimi si Rais na Urais uko mbali nami lakini katika hali kama hii akatoa mchango wake ambazo hakika ulitutoa pal tulipo tukaweza kusonga mbele"