watashangaa madadapoa watakavyojaa msibaniNgoja nijifanye nimekufa ili nisikie jinsi watu watakavyosema mazuri yangu japp kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watashangaa madadapoa watakavyojaa msibaniNgoja nijifanye nimekufa ili nisikie jinsi watu watakavyosema mazuri yangu japp kidogo.
Na nchi nyingi ndivyo zilivyo Kuna Watu vichwa Haswa Ndani Serikali Wanaotumiwa Kuweka Mambo Sawa,,Hao Wanasiasa ni viwakilishi Shirikishi.Wakati mwingine wanasiasa wanakuwaga na mbwembwe kibao kumbe Kazi inafanywa na Watu wengine kabisa
Sijawahi kumsikia Mafuru akisema hadharani nimefanya hivi na vile Nasi tuliamini mambo Yote yalifanywa na Mawaziri wa Fedha na yule wa Uchumi
Ukimya nao ni mzuri
RIP Mafuru